Zaburi
Wimbo wa Safari za Kupanda.
125 Wale wenye kumutegemea Yehova+
Wako kama Mulima Sayuni, wenye hauwezi kutikiswa
Lakini unadumu milele.+
2 Kama vile milima inazunguka Yerusalemu,+
Ni vile Yehova anazunguka watu wake+
Kuanzia sasa na milele.
3 Fimbo ya ufalme ya uovu haitadumu katika inchi yenye iligawiwa wenye haki,+
5 Lakini wale wenye kugeuka pembeni na kufuata njia zao zenye kupotoka,
Yehova atawaondoa pamoja na wakosaji.+
Amani ikuwe juu ya Israeli.