Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 142
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya kuomba aokolewe kutoka kwa watesaji

        • “Hakuna kwenye ninaweza kukimbilia” (4)

        • “Sina mwingine isipokuwa wewe” (5)

Zaburi 142:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:1; 24:3; Ebr 11:32, 38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2011, uku. 10

Zaburi 142:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 28:2; 141:1

Zaburi 142:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6; Yon 2:7; Mt 26:38, 39; Mk 15:34; Ebr 5:7

Zaburi 142:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wakati nguvu zinaniisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 139:3

Zaburi 142:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ananitambua.”

  • *

    Ao “anahangaikia nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:11; 69:20
  • +1 Sa. 23:11

Zaburi 142:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Fungu langu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 18:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2011, uku. 10-11

Zaburi 142:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 20:33; 23:26; 25:29

Zaburi 142:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tosha nafsi yangu.”

Maandiko ingine

Zb. 142:utangulizi1 Sa. 22:1; 24:3; Ebr 11:32, 38
Zb. 142:1Zab 28:2; 141:1
Zb. 142:2Zab 18:6; Yon 2:7; Mt 26:38, 39; Mk 15:34; Ebr 5:7
Zb. 142:3Zab 139:3
Zb. 142:4Zab 31:11; 69:20
Zb. 142:41 Sa. 23:11
Zb. 142:5Mez. 18:10
Zb. 142:61 Sa. 20:33; 23:26; 25:29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 142:1-7

Zaburi

Maskili.* Ya Daudi, wakati alikuwa katika pango.+ Sala.

142 Kwa sauti yangu ninamuita Yehova anisaidie;+

Kwa sauti yangu ninamulilia Yehova anionyeshe wema.

 2 Mbele yake ninamwanga mahangaiko yangu;

Mbele yake ninaeleza taabu yangu+

 3 Wakati roho yangu inazimia ndani yangu.*

Kisha unaangalia barabara yangu.+

Katika njia kwenye ninatembea,

Wanaficha mutego wa kuninasa.

 4 Angalia kwenye mukono wangu wa kuume na uone

Kwamba hakuna mwenye ananihangaikia.*+

Hakuna kwenye ninaweza kukimbilia;+

Hakuna mwenye ananihangaikia.*

 5 Ninakuita unisaidie, Ee Yehova.

Ninasema: “Wewe ni kimbilio langu,+

Sina mwingine isipokuwa wewe* katika inchi ya wazima.”

 6 Sikiliza kilio changu cha kuomba musaada,

Kwa maana nimeshushwa chini sana.

Uniokoe kutoka kwa wale wenye kunitesa,+

Kwa maana ni wenye nguvu kuliko mimi.

 7 Unitoshe* katika gereza la chini ya udongo

Ili nisifu jina lako.

Wenye haki wakusanyike kunizunguka

Kwa sababu unanitendea kwa fazili.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine