Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Hukumu ya Yehova juu ya mataifa (1-38)

        • Mataifa yatatumikia Babiloni kwa miaka makumi saba (11)

        • Kikombe cha divai ya kasirani kali ya Mungu (15)

        • Musiba kutoka taifa moja mupaka taifa lingine (32)

        • Wale wenye waliuawa na Yehova (33)

Yeremia 25:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:1; Yer 36:1; 46:2; Da. 1:1

Yeremia 25:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na.”

Yeremia 25:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nikiamuka asubui sana na kusema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:2
  • +Yer 7:13; 13:10

Yeremia 25:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akiamuka asubui sana na kuwatuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:19

Yeremia 25:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:13; Isa 55:7; Yer 18:11; 35:15; Eze 18:30; 33:11

Yeremia 25:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:21; Ne 9:26

Yeremia 25:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:25; Isa 5:26; Yer 1:15
  • +Yer 27:6; 43:10
  • +Kum 28:49, 50; Yer 5:15; Eze 7:24
  • +Eze 26:7; 29:19; Hab 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    6/2012, uku. 13

Yeremia 25:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 24:7; Eze 26:13
  • +Yer 7:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2015, uku. 15

    1/6/2014, uku. 9

Yeremia 25:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:20, 21; Da. 9:2; Zek 1:12; 7:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    6/2012, uku. 13

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2011, uku. 26-28

    Yeremia, uku. 162

Yeremia 25:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitamupatia azabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:3; Ezr 1:1, 2; Yer 29:10
  • +Isa 47:1; Yer 51:1; Da. 5:26, 30
  • +Isa 13:1, 19; 14:4, 23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 84

Yeremia 25:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:9; 51:27
  • +Isa 14:2; Hab 2:8
  • +Zab 137:8; Yer 50:29; 51:6, 24; Ufu 18:6

Yeremia 25:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:7; Omb 4:21; Eze 23:32-34; Nah 3:7, 11

Yeremia 25:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:10

Yeremia 25:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 51:17
  • +Yer 24:9

Yeremia 25:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 46:2

Yeremia 25:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 47:1
  • +Yer 47:5

Yeremia 25:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:17; Omb 4:21
  • +Yer 48:1
  • +Yer 49:1

Yeremia 25:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 27:2, 3; 47:4

Yeremia 25:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:8
  • +Yer 9:25, 26; 49:32

Yeremia 25:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:31, 32

Yeremia 25:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:34
  • +Yer 51:11

Yeremia 25:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana hili ni jina la siri la Babeli (Babiloni).

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:41

Yeremia 25:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:6; Hab 2:16

Yeremia 25:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:7; Yer 7:12, 14; Da. 9:18; Ho 12:2; Mik 6:2
  • +Yer 49:12; Oba 16

Yeremia 25:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Tnn., “kila mwili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoe 3:2

Yeremia 25:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 34:2, 3; Yer 25:17
  • +Sef 3:8

Yeremia 25:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwana-simba mwenye manyoya ya murefu kwenye shingo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 5:14

Maandiko ingine

Yer. 25:12 Fal. 24:1; Yer 36:1; 46:2; Da. 1:1
Yer. 25:3Yer 1:2
Yer. 25:3Yer 7:13; 13:10
Yer. 25:4Yer 29:19
Yer. 25:52 Fal. 17:13; Isa 55:7; Yer 18:11; 35:15; Eze 18:30; 33:11
Yer. 25:7Kum 32:21; Ne 9:26
Yer. 25:9Law. 26:25; Isa 5:26; Yer 1:15
Yer. 25:9Yer 27:6; 43:10
Yer. 25:9Kum 28:49, 50; Yer 5:15; Eze 7:24
Yer. 25:9Eze 26:7; 29:19; Hab 1:6
Yer. 25:10Isa 24:7; Eze 26:13
Yer. 25:10Yer 7:34
Yer. 25:112Nya 36:20, 21; Da. 9:2; Zek 1:12; 7:5
Yer. 25:12Kum 30:3; Ezr 1:1, 2; Yer 29:10
Yer. 25:12Isa 47:1; Yer 51:1; Da. 5:26, 30
Yer. 25:12Isa 13:1, 19; 14:4, 23
Yer. 25:14Yer 50:9; 51:27
Yer. 25:14Isa 14:2; Hab 2:8
Yer. 25:14Zab 137:8; Yer 50:29; 51:6, 24; Ufu 18:6
Yer. 25:16Yer 51:7; Omb 4:21; Eze 23:32-34; Nah 3:7, 11
Yer. 25:17Yer 1:10
Yer. 25:18Isa 51:17
Yer. 25:18Yer 24:9
Yer. 25:19Yer 46:2
Yer. 25:20Yer 47:1
Yer. 25:20Yer 47:5
Yer. 25:21Yer 49:17; Omb 4:21
Yer. 25:21Yer 48:1
Yer. 25:21Yer 49:1
Yer. 25:22Yer 27:2, 3; 47:4
Yer. 25:23Yer 49:8
Yer. 25:23Yer 9:25, 26; 49:32
Yer. 25:24Yer 49:31, 32
Yer. 25:25Yer 49:34
Yer. 25:25Yer 51:11
Yer. 25:26Yer 51:41
Yer. 25:27Isa 63:6; Hab 2:16
Yer. 25:291 Fal. 9:7; Yer 7:12, 14; Da. 9:18; Ho 12:2; Mik 6:2
Yer. 25:29Yer 49:12; Oba 16
Yer. 25:31Yoe 3:2
Yer. 25:32Isa 34:2, 3; Yer 25:17
Yer. 25:32Sef 3:8
Yer. 25:38Ho 5:14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 25:1-38

Yeremia

25 Neno lenye lilikuja kwa Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa ine (4) wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda, wenye ulikuwa mwaka wa kwanza wa Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni. 2 Nabii Yeremia alisema hivi kuhusu* watu wote wa Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu:

3 “Tangu mwaka wa kumi na tatu (13) wa Yosia+ mwana wa Amoni, mufalme wa Yuda, mupaka leo, miaka hii makumi mbili na tatu (23), neno la Yehova limekuja kwangu, na nikaendelea kusema na ninyi tena na tena,* lakini hamukusikiliza.+ 4 Na Yehova alituma kwenu watumishi wake wote manabii, akiwatuma tena na tena,* lakini hamukusikiliza wala kutega sikio lenu ili musikie.+ 5 Walisema, ‘Tafazali, mugeuke, kila mumoja wenu kutoka katika njia zenu zenye uovu na matendo yenu maovu;+ kisha mutaendelea kukaa kwa wakati murefu wenye kuja katika inchi yenye Yehova aliwapatia ninyi na mababu zenu zamani. 6 Musifuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, mukinikasirisha kupitia kazi ya mikono yenu; tofauti na hilo nitaleta musiba juu yenu.’

7 “‘Lakini hamukunisikiliza,’ ni vile Yehova anasema. ‘Tofauti na hilo mulinikasirisha kupitia kazi ya mikono yenu, na kujiletea musiba.’+

8 “Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘“Kwa sababu hamukutii maneno yangu, 9 ninaita familia zote za kaskazini,”+ ni vile Yehova anasema, “ninamuita Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni, mutumishi wangu,+ na nitawaleta juu ya inchi hii+ na juu ya wakaaji wake na juu ya mataifa haya yote ya pembeni-pembeni.+ Nitawaharibu na kuwafanya kuwa kitu cha kuogopesha na kitu cha kupigiwa muluzi na mabomoko ya kudumu. 10 Nitamaliza sauti ya furaha na sauti ya shangwe kutoka kwao,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mukono na mwangaza wa taa. 11 Na inchi hii yote itakuwa mabomoko na itakuwa kitu cha kuogopesha, na mataifa haya yatamutumikia mufalme wa Babiloni miaka makumi saba (70).”’+

12 “‘Lakini wakati miaka makumi saba (70) itatimia,+ nitaomba hesabu kwa* mufalme wa Babiloni na taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ ni vile Yehova anasema, ‘na nitafanya inchi ya Wakaldayo kuwa inchi yenye imeachwa ukiwa sikuzote.+ 13 Nitaleta juu ya inchi hiyo maneno yangu yote yenye nimesema juu yake, yote yenye kuandikwa katika kitabu hiki yenye Yeremia ametoa unabii juu ya mataifa yote. 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakubwa+ watawafanya kuwa watumwa,+ na nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+

15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Kamata kikombe hiki cha divai ya kasirani kali kutoka katika mukono wangu, na ufanye mataifa yote yenye ninakutuma kwao yakikunywe. 16 Na watakunywa na kuyumba-yumba na kutenda kama wenda-wazimu kwa sababu ya upanga wenye ninatuma kati yao.”+

17 Basi nikakamata kile kikombe katika mukono wa Yehova na kufanya mataifa yote yenye Yehova alinituma kwao yakunywe:+ 18 kuanzia Yerusalemu na miji ya Yuda,+ wafalme wake na wakubwa wake, ili kuyafanya kuwa mabomoko, kitu cha kuogopesha, kitu cha kupigiwa muluzi na laana,+ kama vile hali iko leo; 19 kisha Farao mufalme wa Misri na watumishi wake, wakubwa wake, na watu wake wote,+ 20 na watu wote wa mataifa mbalimbali wenye kuchangamana nao; wafalme wote wa inchi ya Usi; wafalme wote wa inchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na wenye kubakia wa Ashdodi; 21 Edomu,+ Moabu,+ na Waamoni;+ 22 wafalme wote wa Tiro, wafalme wote wa Sidoni,+ na wafalme wa kisiwa chenye kuwa katika bahari; 23 Dedani,+ Tema, Buzi, na wale wote wenye kuwa na nywele zenye kukatwa kwenye vipaji vya nyuso;+ 24 wafalme wote wa Waarabu+ na wafalme wote wa watu wa mataifa mbalimbali wenye kuchangamana wenye wanakaa katika jangwa; 25 wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu,+ na wafalme wote wa Wamedi;+ 26 na wafalme wote wa kaskazini wenye kuwa karibu na wenye kuwa mbali, mumoja baada ya mwingine, na falme zingine zote za dunia zenye kuwa juu ya uso wa inchi; na mufalme wa Sheshaki*+ atakunywa kisha wao.

27 “Na unapaswa kuwaambia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Mukunywe na mulewe na mutapike na kuanguka na hivyo musiweze kusimama+ kwa sababu ya upanga wenye ninatuma kati yenu.”’ 28 Na kama wanakataa kukamata kikombe kutoka katika mukono wako ili wakunywe, uwaambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Munapaswa kukikunywa! 29 Kwa maana muangalie! kama ninaleta musiba kwanza juu ya muji wenye kubeba jina langu,+ je, ninyi mutakosa kupewa azabu?”’+

“‘Hamutakosa kupewa azabu, kwa maana ninaita upanga juu ya wakaaji wote wa dunia,’ ni vile Yehova wa majeshi anasema.

30 “Na unapaswa kutoa unabii kwa maneno haya yote na kuwaambia,

‘Yehova atanguruma kutoka juu,

Na kutoka katika makao yake matakatifu atafanya sauti yake isikiwe.

Atanguruma kwa sauti kubwa juu ya makao yake.

Akifanya makelele kama wale wenye wanakanyanga kikamulio cha divai,

Ataimba kwa ushindi juu ya wakaaji wote wa dunia.’

31 ‘Makelele yatasikika mupaka kwenye miisho ya dunia,

Kwa maana Yehova iko* na ubishi na mataifa.

Yeye mwenyewe atahukumu wanadamu wote.*+

Na ataharibu waovu kwa upanga,’ ni vile Yehova anasema.

32 Yehova wa majeshi anasema hivi:

‘Angalia! Musiba unaenea kutoka taifa mupaka taifa,+

Na zoruba kali itaachiliwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

33 “‘Na wale wenye waliuawa na Yehova katika siku hiyo watakuwa kutoka mwisho mumoja wa dunia mupaka mwisho mwingine wa dunia. Hawataombolezewa, na hawatakusanywa wala kuzikwa. Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa inchi.’

34 Muomboleze, ninyi wachungaji, na mulie kwa sauti kubwa!

Mujizungushe-zungushe chini, ninyi watu wenye cheo wa kundi,

Kwa sababu wakati wenu wa kuuawa na kutawanywa umefika,

Na mutaanguka kama chombo chenye samani!

35 Wachungaji hawana mahali pa kukimbilia,

Na watu wenye cheo wa kundi hawawezi kuponyoka.

36 Musikilize! Kilio cha wachungaji

Na maombolezo ya watu wenye cheo wa kundi,

Kwa maana Yehova anaharibu malisho yao.

37 Na makao yenye amani yamefanywa yasikuwe na uzima

Kwa sababu ya kasirani ya Yehova yenye kuwaka.

38 Ametoka katika pango lake kama vile mwana-simba,*+

Kwa maana inchi yao imekuwa kitu cha kuogopesha

Kwa sababu ya upanga wenye kuua sana

Na kwa sababu ya kasirani yake yenye kuwaka.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine