Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Ahadi ya kurudishwa (1-13)

      • Usalama chini ya “chipukizi la haki” (14-16)

      • Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)

        • Agano juu ya muchana na usiku (20)

Yeremia 33:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 3:25; Yer 32:2; 37:21; 38:28

Yeremia 33:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 48:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 114-115

Yeremia 33:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:52; Yer 32:24

Yeremia 33:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:26; Yer 30:17
  • +Isa 54:13

Yeremia 33:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:3; Yer 30:3
  • +Yer 24:6

Yeremia 33:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:2; Zek 13:1
  • +Zab 85:2; Isa 43:25; Yer 31:34; Mik 7:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 152-153

Yeremia 33:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 62:3, 7
  • +Mik 7:17
  • +Ne 6:15, 16

Yeremia 33:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:12
  • +Zek 9:17
  • +2Nya 5:13; Ezr 3:11; Zab 106:1; Isa 12:4; Mik 7:18
  • +Law. 7:12; Zab 107:22

Yeremia 33:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 65:10; Yer 32:43

Yeremia 33:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 17:26
  • +Yer 32:44

Yeremia 33:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:10

Yeremia 33:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muriti wa.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:2; Zek 6:12; Ufu 22:16
  • +Isa 11:1, 4; Yer 23:5; Ebr 1:9

Yeremia 33:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:17
  • +Eze 28:26
  • +Yer 23:6

Yeremia 33:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:16, 17; 1 Fal. 2:4; Zab 89:20, 29; Isa 9:7; Lu 1:32, 33

Yeremia 33:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:16; Isa 54:10; Yer 31:35-37

Yeremia 33:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:16, 17; 23:5; Zab 89:34, 35; 132:11; Isa 55:3
  • +Isa 9:6; Lu 1:32, 33
  • +Kum 21:5

Yeremia 33:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya Daudi na ya Walawi wenye wananitumikia ikuwe nyingi.”

Yeremia 33:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 11

Yeremia 33:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:16
  • +Zab 104:19; Yer 31:35, 36

Yeremia 33:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 2:1, 70
  • +Isa 14:1; Yer 31:20

Maandiko ingine

Yer. 33:1Ne 3:25; Yer 32:2; 37:21; 38:28
Yer. 33:3Isa 48:6
Yer. 33:4Kum 28:52; Yer 32:24
Yer. 33:6Isa 30:26; Yer 30:17
Yer. 33:6Isa 54:13
Yer. 33:7Kum 30:3; Yer 30:3
Yer. 33:7Yer 24:6
Yer. 33:8Isa 40:2; Zek 13:1
Yer. 33:8Zab 85:2; Isa 43:25; Yer 31:34; Mik 7:18
Yer. 33:9Isa 62:3, 7
Yer. 33:9Mik 7:17
Yer. 33:9Ne 6:15, 16
Yer. 33:11Yer 31:12
Yer. 33:11Zek 9:17
Yer. 33:112Nya 5:13; Ezr 3:11; Zab 106:1; Isa 12:4; Mik 7:18
Yer. 33:11Law. 7:12; Zab 107:22
Yer. 33:12Isa 65:10; Yer 32:43
Yer. 33:13Yer 17:26
Yer. 33:13Yer 32:44
Yer. 33:14Yer 29:10
Yer. 33:15Isa 53:2; Zek 6:12; Ufu 22:16
Yer. 33:15Isa 11:1, 4; Yer 23:5; Ebr 1:9
Yer. 33:16Isa 45:17
Yer. 33:16Eze 28:26
Yer. 33:16Yer 23:6
Yer. 33:172 Sa. 7:16, 17; 1 Fal. 2:4; Zab 89:20, 29; Isa 9:7; Lu 1:32, 33
Yer. 33:20Mwa 1:16; Isa 54:10; Yer 31:35-37
Yer. 33:212 Sa. 7:16, 17; 23:5; Zab 89:34, 35; 132:11; Isa 55:3
Yer. 33:21Isa 9:6; Lu 1:32, 33
Yer. 33:21Kum 21:5
Yer. 33:25Mwa 1:16
Yer. 33:25Zab 104:19; Yer 31:35, 36
Yer. 33:26Ezr 2:1, 70
Yer. 33:26Isa 14:1; Yer 31:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 33:1-26

Yeremia

33 Neno la Yehova likakuja tena kwa Yeremia mara ya pili, wakati alikuwa angali anafungwa katika Kiwanja cha Walinzi,+ na kusema: 2 “Yehova, Mutengenezaji wa dunia, anasema hivi, Yehova mwenye aliiumba na kuifanya kuwa imara kabisa; Yehova ndilo jina lake, 3 ‘Uniite, na mimi nitakujibu na kukuambia kwa utayari mambo makubwa na yenye hayaeleweke yenye haukujua.’”+

4 “Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu nyumba za muji huu na nyumba za wafalme wa Yuda zenye zinabomolewa kwa sababu ya maboma ya kuzunguka kwa ajili ya vita na upanga,+ 5 na kuhusu wale wenye wanakuja kupigana na Wakaldayo, na kujaza maeneo haya mizoga ya wale wenye nilipiga na kuua katika hasira yangu na katika kasirani yangu kali, wale wenye uovu wao umenifanya nifiche uso wangu kutoka kwenye muji huu: 6 ‘Angalia, ninamuponyesha na kumupatia afya,+ na nitawaponyesha na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ 7 Na nitarudisha watu wa Yuda wenye walikamatwa mateka na watu wa Israeli wenye walikamatwa mateka,+ na nitawajenga kama vile nilifanya pale mwanzo.+ 8 Na nitawatakasa kutokana na hatia yote ya zambi zao zenye walinitendea,+ na nitasamehe hatia yote ya zambi zao na makosa yao yenye walinitendea.+ 9 Na atakuwa kwangu jina la furaha, sifa, na uzuri mbele ya mataifa yote ya dunia yenye yatasikia juu ya wema wote wenye ninawapatia.+ Na wataogopa na kutetemeka+ kwa sababu ya wema wote na amani yenye nitamupatia.’”+

10 “Yehova anasema hivi: ‘Mahali hapa kwenye mutasema kuliachwa, kwenye hakuna mwanadamu wala mifugo, katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu zenye zimeachwa ukiwa, bila mwanadamu wala mukaaji wala mifugo, patasikika tena 11 sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi, sauti ya wale wenye wanasema: “Mumushukuru Yehova wa majeshi, kwa maana Yehova ni mwema;+ upendo wake mushikamanifu unadumu milele!”’+

“‘Wataleta matoleo ya shukrani katika nyumba ya Yehova,+ kwa maana nitarudisha watu wa inchi wenye walikamatwa mateka, kama pale mwanzo,’ ni vile Yehova anasema.”

12 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Katika eneo hili lenye limeachwa, lenye halina mwanadamu ao mifugo, na katika miji yake yote, kutakuwa tena malisho kwa ajili ya wachungaji ili kupumuzisha makundi yao.’+

13 “‘Katika miji ya eneo lenye milima, katika miji ya inchi tambarare ya chini, katika miji ya kusini, katika inchi ya Benyamini, katika maeneo yenye kuzunguka Yerusalemu,+ na katika miji ya Yuda,+ makundi yatapita tena chini ya mikono ya mutu mwenye kuyahesabu,’ ni vile Yehova anasema.”

14 “‘Angalia! Siku zinakuja,’ ni vile Yehova anasema, ‘wakati nitatimiza ahadi ya muzuri yenye nilisema juu ya nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ 15 Katika siku hizo na wakati huo nitachipushia Daudi chipukizi la* haki,+ na atatenda haki na uadilifu* katika inchi.+ 16 Katika siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu itakaa katika usalama.+ Na ataitwa hivi: Yehova Ni Haki Yetu.’”+

17 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Hakutakosa hata kidogo mwanaume wa ukoo wa Daudi mwenye atakaa kwenye kiti cha ufalme cha nyumba ya Israeli,+ 18 na makuhani Walawi hawatakosa hata siku moja mutu wa kusimama mbele yangu ili kutoa matoleo mazima ya kuteketezwa, kuchoma matoleo ya nafaka, na kutoa zabihu.’”

19 Na neno la Yehova likakuja tena kwa Yeremia, na kusema: 20 “Yehova anasema hivi: ‘Kama munaweza kuvunja agano langu juu ya muchana na agano langu juu ya usiku, ili kuzuia muchana na usiku usikuje kwa wakati wake wenye kufaa,+ 21 basi agano langu pamoja na mutumishi wangu Daudi lingeweza kuvunjwa,+ ili asikuwe na mwana mwenye kutawala akiwa mufalme kwenye kiti chake cha ufalme,+ na pia agano langu pamoja na makuhani Walawi, watumishi wangu.+ 22 Kama vile jeshi la mbinguni haliwezi kuhesabiwa na muchanga wa bahari hauwezi kupimwa, ni vile nitafanya uzao wa mutumishi wangu Daudi na Walawi wenye wananitumikia ukuwe mwingi.’”*

23 Na neno la Yehova likakuja tena kwa Yeremia, na kusema: 24 “Je, haukusikia mambo yenye watu hawa wanasema, ‘Yehova atakataa familia mbili zenye alichagua’? Na wanatendea watu wangu mwenyewe bila heshima, na hawawaone tena kuwa taifa.

25 “Yehova anasema hivi: ‘Kama vile hakika nimefanya imara agano langu juu ya muchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+ 26 ni vile sitakataa hata siku moja uzao wa* Yakobo na wa mutumishi wangu Daudi, ili nisikamate kutoka kwa uzao wake* watawala juu ya wazao wa* Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitakusanya watu wao wenye walikamatwa mateka+ na kuwasikilia huruma.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine