Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 45
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Ujumbe wa Yehova kwa Baruku (1-5)

Yeremia 45:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:12; 43:3
  • +Yer 36:4, 32
  • +Yer 25:1; 36:1

Yeremia 45:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 103, 105

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2006, uku. 17

Yeremia 45:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 5:5; Yer 1:1, 10

Yeremia 45:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “unatazamia.”

  • *

    Ao “watu wote.”

  • *

    Ao “nafsi yako.”

  • *

    Ao “nitaacha uponyoke na uzima wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:16; Yer 25:17, 26; Sef 3:8
  • +Yer 21:9; 39:18; 43:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 103-113

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2008, uku. 8-9

    15/4/2008, uku. 15

    15/8/2006, uku. 17-19

    1/10/2002, uku. 14-15

    15/2/2000, uku. 6

    Amuka!,

    8/4/2003, uku. 21

Maandiko ingine

Yer. 45:1Yer 32:12; 43:3
Yer. 45:1Yer 36:4, 32
Yer. 45:1Yer 25:1; 36:1
Yer. 45:4Isa 5:5; Yer 1:1, 10
Yer. 45:5Isa 66:16; Yer 25:17, 26; Sef 3:8
Yer. 45:5Yer 21:9; 39:18; 43:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 45:1-5

Yeremia

45 Hili ndilo neno lenye Yeremia nabii alimuambia Baruku+ mwana wa Neria wakati aliandika katika kitabu maneno haya yenye yalisemwa na Yeremia+ katika mwaka wa ine (4) wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda:

2 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi juu yako wewe, Baruku: 3 ‘Umesema: “Ole wangu, kwa maana Yehova ameongeza huzuni kwenye maumivu yangu! Nimechoka kwa sababu ya kilio changu cha maumivu, na sikupata mahali pa kupumuzikia.”’

4 “Umuambie, ‘Yehova anasema hivi: “Angalia! Kile chenye nimejenga ninakibomoa, na kile chenye nimepanda ninakingoa⁠—inchi yote.+ 5 Lakini unajitafutia* mambo makubwa. Acha kutafuta mambo hayo.”’

“‘Kwa maana, niko karibu kuleta musiba juu ya miili yote,’*+ ni vile Yehova anasema, ‘na kila mahali kwenye unaweza kuenda, nitakupatia uzima wako* kama kitu chenye kilichukuliwa katika vita.’”*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine