Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Yehova hatabadilisha hukumu yake (1-9)

      • Malalamiko ya Yeremia (10)

      • Jibu la Yehova (11-14)

      • Sala ya Yeremia (15-18)

        • Anapata furaha kwa kula maneno ya Mungu (16)

      • Yehova anamutia Yeremia nguvu (19-21)

Yeremia 15:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu haingeelekea watu hawa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:11; 1 Sa. 7:9; Zab 99:6; 106:23

Yeremia 15:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 5:2
  • +Eze 12:11

Yeremia 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “aina ine za hukumu.” Tnn., “familia ine.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 14:21
  • +Kum 28:26; Yer 7:33

Yeremia 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 25; Yer 24:9; Eze 23:46
  • +2 Fal. 21:11; 23:26; 24:3, 4

Yeremia 15:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Unaendelea kutembea kinyume-nyume.”

  • *

    Ao “kukusikitikia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:13
  • +Isa 1:4
  • +Sef 1:4

Yeremia 15:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 18; Yer 9:21; Eze 24:21
  • +Yer 5:3

Yeremia 15:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yake inapumua.”

  • *

    Ao pengine, “Limepatishwa haya na kufezeheshwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 44:27; Eze 5:12

Yeremia 15:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:14

Yeremia 15:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:5

Yeremia 15:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:38; Yer 16:13
  • +Kum 32:22; Isa 42:24, 25; Yer 17:4

Yeremia 15:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Usiniondolee mbali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 11:20; 12:3; 17:18; 37:15
  • +Zab 69:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 117-118

Yeremia 15:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:1-3; Ufu 10:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2017, uku. 20

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2011, uku. 30

    15/3/2007, uku. 10

    Yeremia,

    uku. 117-118

Yeremia 15:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ujumbe wa lawama.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 1:1
  • +Yer 20:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 10

    1/5/2004, uku. 12

Yeremia 15:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 9

Yeremia 15:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Utakuwa musemaji wangu.”

Yeremia 15:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:18; Eze 3:9
  • +Yer 20:11

Maandiko ingine

Yer. 15:1Kut 32:11; 1 Sa. 7:9; Zab 99:6; 106:23
Yer. 15:2Eze 5:2
Yer. 15:2Eze 12:11
Yer. 15:3Eze 14:21
Yer. 15:3Kum 28:26; Yer 7:33
Yer. 15:4Kum 28:15, 25; Yer 24:9; Eze 23:46
Yer. 15:42 Fal. 21:11; 23:26; 24:3, 4
Yer. 15:6Yer 2:13
Yer. 15:6Isa 1:4
Yer. 15:6Sef 1:4
Yer. 15:7Kum 28:15, 18; Yer 9:21; Eze 24:21
Yer. 15:7Yer 5:3
Yer. 15:9Yer 44:27; Eze 5:12
Yer. 15:10Yer 20:14
Yer. 15:13Yer 20:5
Yer. 15:14Law. 26:38; Yer 16:13
Yer. 15:14Kum 32:22; Isa 42:24, 25; Yer 17:4
Yer. 15:15Yer 11:20; 12:3; 17:18; 37:15
Yer. 15:15Zab 69:7
Yer. 15:16Eze 3:1-3; Ufu 10:9, 10
Yer. 15:17Zab 1:1
Yer. 15:17Yer 20:8
Yer. 15:20Yer 1:18; Eze 3:9
Yer. 15:20Yer 20:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 15:1-21

Yeremia

15 Kisha Yehova akaniambia: “Hata kama Musa na Samweli wangekuwa wamesimama mbele yangu,+ singeonyesha watu hawa rehema.* Uwafukuze kutoka mbele yangu. Uwaache waende. 2 Na kama wanakuambia, ‘Tuende wapi?’ unapaswa kuwaambia, ‘Yehova anasema hivi:

“Kila mutu mwenye alikusudiwa pigo lenye kuua, aende kwenye pigo lenye kuua!

Kila mutu mwenye alikusudiwa upanga, aende kwenye upanga!+

Kila mutu mwenye alikusudiwa njaa, aende kwenye njaa!

Na kila mutu mwenye alikusudiwa kuenda katika utekwa, aende katika utekwa!”’+

3 “‘Na nitaweka juu yao misiba ine (4),’*+ ni vile Yehova anasema, ‘upanga ili kuua, imbwa ili kukokota, na ndege wa mbinguni na wanyama wa dunia ili kupasua vipande-vipande na kuharibu.+ 4 Na nitawafanya kuwa kitu cha kuogopesha kwa falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mufalme wa Yuda, kwa sababu ya mambo yenye alifanya katika Yerusalemu.+

 5 Ni nani mwenye atakusikilia huruma, Ee Yerusalemu,

Ni nani mwenye atakusikitikia,

Na ni nani mwenye atasimama ili kuuliza juu ya hali yako?’

 6 ‘Umeniacha,’ ni vile Yehova anasema.+

‘Unaendelea kunigeuzia mugongo wako.*+

Basi nitanyoosha mukono wangu juu yako na kukuangamiza.+

Nimechoka kukusikilia huruma.*

 7 Na nitawapepua kwa kanya* katika milango mikubwa ya inchi.

Nitaua watoto wao.+

Nitaharibu watu wangu,

Kwa kuwa wanakataa kugeuka na kuacha njia zao.+

 8 Wajane wao watakuwa wengi mbele yangu kuliko muchanga wa bahari.

Nitaleta mwenye kuharibu juu yao katikati ya muchana, juu ya mama na vijana.

Nitaleta wasiwasi na woga juu yao kwa kushitukia.

 9 Mwanamuke mwenye alizaa watoto saba (7) amekuwa muzaifu sana;

Anapumua* kwa shida.

Jua lake limeshuka wakati ingali muchana,

Na kutokeza haya na fezeha.’*

‘Na watu kidogo wenye kubakia kati yao

Nitawatoa kwa upanga mbele ya maadui wao,’ ni vile Yehova anasema.”+

10 Ole wangu, Ee mama yangu, kwa sababu ulinizaa,+

Mutu mwenye ugomvi na mwenye muzozo na inchi yote.

Sikutoa mukopo ao sikuomba mukopo;

Lakini wote wananilaani.

11 Yehova alisema: “Hakika nitakutumikia upate mema;

Hakika nitakutetea wakati wa musiba,

Wakati wa taabu juu ya adui.

12 Je, mutu yeyote anaweza kuvunja chuma vipande-vipande,

Chuma kutoka kaskazini, na shaba?

13 Nitatoa mali yako na hazina zako ili vinyanganywe,+

Hapana kwa malipo, lakini kwa sababu ya zambi zako zote kila mahali katika maeneo yako yote.

14 Nitavipatia maadui wako

Wavipeleke katika inchi yenye haujue.+

Kwa maana moto umewashwa kwa kasirani yangu,

Na unawaka juu yenu.”+

15 Wewe unajua, Ee Yehova,

Unikumbuke na unikazie uangalifu.

Unilipizie kisasi juu ya wale wenye kunitesa.+

Usiache niangamie* kwa sababu haukasirike haraka.

Ujue kwamba ninabeba haya hii kwa sababu yako.+

16 Maneno yako yalipatikana, na nikayakula;+

Na neno lako likakuwa kwangu furaha na shangwe ya moyo wangu,

Kwa maana jina lako limeitwa juu yangu, Ee Yehova Mungu wa majeshi.

17 Mimi sikae pamoja na watu wenye wanapenda kufurahi na kushangilia.+

Kwa sababu mukono wako uko juu yangu, ninakaa peke yangu,

Kwa maana umenijaza kasirani kali.*+

18 Sababu gani maumivu yangu ni ya kudumu na kidonda changu hakipone?

Kinakataa kupona.

Je, wewe utakuwa kwangu kama chanzo cha maji cha udanganyifu

Chenye hakiwezi kutegemeka?

19 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:

“Kama unarudia, basi nitakurudisha kwangu,

Na wewe utasimama mbele yangu.

Kama unatenganisha kitu chenye samani kutoka kwa kitu chenye hakina mafaa yoyote,

Utakuwa kama kinywa changu mwenyewe.*

Watalazimika kuja kwako,

Lakini wewe hautaenda kwao.”

20 “Ninakufanya kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa.+

Hakika watapigana na wewe,

Lakini hawatakushinda,+

Kwa maana mimi niko pamoja na wewe, ili kukuokoa na kukukomboa,” ni vile Yehova anasema.

21 “Na nitakukomboa kutoka katika mukono wa watu waovu

Na kukukomboa kutoka katika mukono wa watu wenye hawana huruma.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine