Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo

      • Matokeo ya mubaya ya kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita

        • Ukosefu wa chakula (4, 5, 9)

        • Wanamuke wanatokotesha watoto wao (10)

        • Yehova amemwanga kasirani yake (11)

Maombolezo 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwenye kichwa cha kila barabara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:22
  • +1 Fal. 5:17; 7:9-12
  • +Yer 52:12, 13

Maombolezo 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walikuwa wenye samani kama.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maombolezo 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:29; Kum 28:53-57; Yer 19:9; Omb 4:10
  • +Yob 39:14-16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 10-11

Maombolezo 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Kaakaa ni sehemu ya juu ndani ya kinywa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:11; 2:11, 12
  • +Yer 52:6

Maombolezo 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakiwa ukiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 6:4, 7
  • +Yer 6:2, 26

Maombolezo 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kosa la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 16:48
  • +Mwa 19:24, 25; Da. 9:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 107-108

Maombolezo 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neige.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:2

Maombolezo 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “weusi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:5

Maombolezo 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:17; 38:2

Maombolezo 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:29; Omb 2:20; 4:3
  • +Kum 28:54-57

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 154-155

Maombolezo 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 6:11; 7:20; Eze 22:31
  • +Kum 32:22; 2 Fal. 25:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 29:24; 1 Fal. 9:8

Maombolezo 4:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 5:31; 14:14; Mik 3:11; Sef 3:4
  • +Yer 26:8; Mt 23:31; Mdo 7:52

Maombolezo 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:28; Sef 1:17
  • +Isa 1:15; Yer 2:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Hawawezi kukaa hapa wakiwa wageni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:25, 65

Maombolezo 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
  • +2 Fal. 25:18, 21
  • +Omb 5:12; Eze 9:6

Maombolezo 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:19
  • +Yer 37:7; Eze 29:6

Maombolezo 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:5; Omb 3:52

Maombolezo 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:49, 50; Isa 5:26; Yer 4:13; Hab 1:8

Maombolezo 4:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 37:1
  • +2 Fal. 25:5, 6; Yer 39:5

Maombolezo 4:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 137:7; Oba 12
  • +Yer 25:17, 20; Oba 16
  • +Yer 49:10, 12

Maombolezo 4:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:44; Isa 52:1; 60:18
  • +Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13

Maandiko ingine

Omb. 4:11 Fal. 6:22
Omb. 4:11 Fal. 5:17; 7:9-12
Omb. 4:1Yer 52:12, 13
Omb. 4:3Law. 26:29; Kum 28:53-57; Yer 19:9; Omb 4:10
Omb. 4:3Yob 39:14-16
Omb. 4:4Omb 1:11; 2:11, 12
Omb. 4:4Yer 52:6
Omb. 4:5Amo 6:4, 7
Omb. 4:5Yer 6:2, 26
Omb. 4:6Eze 16:48
Omb. 4:6Mwa 19:24, 25; Da. 9:12
Omb. 4:7Hes 6:2
Omb. 4:8Zab 102:5
Omb. 4:9Yer 29:17; 38:2
Omb. 4:10Law. 26:29; Omb 2:20; 4:3
Omb. 4:10Kum 28:54-57
Omb. 4:11Yer 6:11; 7:20; Eze 22:31
Omb. 4:11Kum 32:22; 2 Fal. 25:9, 10
Omb. 4:12Kum 29:24; 1 Fal. 9:8
Omb. 4:13Yer 5:31; 14:14; Mik 3:11; Sef 3:4
Omb. 4:13Yer 26:8; Mt 23:31; Mdo 7:52
Omb. 4:14Kum 28:28; Sef 1:17
Omb. 4:14Isa 1:15; Yer 2:34
Omb. 4:15Kum 28:25, 65
Omb. 4:16Law. 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
Omb. 4:162 Fal. 25:18, 21
Omb. 4:16Omb 5:12; Eze 9:6
Omb. 4:17Omb 1:19
Omb. 4:17Yer 37:7; Eze 29:6
Omb. 4:182 Fal. 25:5; Omb 3:52
Omb. 4:19Kum 28:49, 50; Isa 5:26; Yer 4:13; Hab 1:8
Omb. 4:20Yer 37:1
Omb. 4:202 Fal. 25:5, 6; Yer 39:5
Omb. 4:21Zab 137:7; Oba 12
Omb. 4:21Yer 25:17, 20; Oba 16
Omb. 4:21Yer 49:10, 12
Omb. 4:22Law. 26:44; Isa 52:1; 60:18
Omb. 4:22Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Maombolezo 4:1-22

Maombolezo

א [Aleph]

4 Namna zahabu yenye kungaa imepoteza uangavu, zahabu safi!+

Namna majiwe matakatifu+ yamesambaa kwenye kila pembe ya barabara!*+

ב [Beth]

 2 Na wana wa Sayuni wenye samani, wenye walipimwa uzito kwa kulinganishwa na* zahabu yenye kusafishwa,

Namna wameonwa kama mitungi ya udongo,

Kazi ya mikono ya mufinyanzi!*

ג [Gimel]

 3 Hata mbweha wanatoa maziwa ili kunyonyesha watoto wao,

Lakini binti ya watu wangu amekuwa bila huruma,+ kama mbuni katika jangwa.+

ד [Daleth]

 4 Ulimi wa mutoto mudogo mwenye kunyonya umebana kwenye kaakaa* lake kwa sababu ya kiu.

Watoto wanaomba mukate,+ lakini hakuna mwenye anawapatia hata mukate mumoja.+

ה [He]

 5 Wale wenye walikuwa wanakula vyakula vitamu wamelala katika barabara wakiwa na njaa.*+

Wale wenye walilelewa wakiwa wanavaa nguo za rangi nyekundu yenye kungaa+ wamekumbatia marundo ya majivu.

ו [Waw]

 6 Azabu ya* binti ya watu wangu ni kubwa kuliko azabu ya zambi ya Sodoma,+

Muji wenye uliharibiwa kwa wakati kidogo, bila mukono wowote wa kuusaidia.+

ז [Zayin]

 7 Wanaziri+ wake walikuwa safi kuliko teluji,* weupe kuliko maziwa.

Walikuwa wekundu kuliko marijani; walikuwa kama yakuti zenye zilingarishwa.

ח [Heth]

 8 Wameonekana kuwa weusi kuliko masisi;*

Hawatambuliwe katika barabara.

Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao;+ imekuwa kama kuni yenye kukauka.

ט [Teth]

 9 Wale wenye waliuawa kwa upanga ni afazali kuliko wale wenye waliuawa kwa njaa,+

Wale wenye wanaishiwa nguvu, wenye wametobolewa kwa kukosa chakula katika shamba.

י [Yod]

10 Mikono ya wanamuke wenye huruma imetokotesha watoto wao wenyewe.+

Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

כ [Kaph]

11 Yehova ameonyesha kasirani yake kali;

Amemwanga hasira yake yenye kuwaka.+

Na anawasha katika Sayuni moto wenye unateketeza misingi yake.+

ל [Lamed]

12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa inchi yenye kuzaa hawakuamini

Kwamba mupinzani na adui wangeingia kwenye milango mikubwa ya Yerusalemu.+

מ [Mem]

13 Ilikuwa kwa sababu ya zambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

Wenye walimwanga damu ya wenye haki katikati yake.+

נ [Nun]

14 Wametanga-tanga kama vipofu+ katika barabara.

Wamechafuliwa na damu,+

Na hivyo hakuna mutu mwenye anaweza kugusa nguo zao.

ס [Samekh]

15 “Mutoke! Ninyi wachafu!” ni vile wanasema nao kwa sauti kubwa. “Mutoke! Mutoke! Musituguse!”

Kwa maana wamekuwa bila makao na wanatanga-tanga.

Watu wamesema kati ya mataifa: “Hawawezi kukaa hapa pamoja na sisi.*+

פ [Pe]

16 Uso wa Yehova umewatawanya;+

Hatawakubali tena.

Watu hawataheshimia makuhani,+ hawataonyesha wazee wema.”+

ע [Ayin]

17 Hata sasa macho yetu yamechoka kutafuta musaada lakini haupatikane.+

Tuliangalia na kutafuta musaada kutoka kwa taifa lenye halingeweza kutuokoa.+

צ [Tsade]

18 Wametuwinda katika kila hatua+ na hivyo hatungeweza kutembea katika viwanja vyetu vya watu wote.

Mwisho wetu umekaribia; siku zetu zimeisha, kwa maana mwisho wetu umekuja.

ק [Qoph]

19 Wenye kutufuatilia walikuwa wanaenda haraka kuliko tai wa anga.+

Walitufuatilia katika milima; walituvizia katika jangwa.

ר [Resh]

20 Pumuzi ya matundu ya pua zetu, mutiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

Ule mwenye tulisema hivi juu yake: “Tutaishi chini ya kivuli chake kati ya mataifa.”

ש [Sin]

21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ mwenye kukaa katika inchi ya Usi.

Lakini kwako pia kikombe kitapita,+ na utalewa na kufunua uchi wako.+

ת [Taw]

22 Azabu ya kosa lako, Ee binti ya Sayuni, imefikia mwisho wake.

Hatakupeleka tena katika uhamisho.+

Lakini atageuza uangalifu wake kwenye kosa lako, Ee binti ya Edomu.

Atafunua zambi zako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine