Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria

      • Matokeo ya kukataa muchungaji wa kweli wa Mungu (1-17)

        • “Chunga kundi lenye limepangiwa kuchinjwa” (4)

        • Fimbo mbili: Uzuri na Umoja (7)

        • Malipo ya muchungaji: vipande makumi tatu vya feza (12)

        • Feza zinatupwa katika hazina (13)

Zekaria 11:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wana-simba wenye manyoya ya murefu kwenye shingo.”

  • *

    Ao “vichaka vikubwa pembeni ya Yordani vimeharibiwa.”

Zekaria 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 34:8

Zekaria 11:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 22:25
  • +Ne 5:8
  • +Eze 34:2, 4

Zekaria 11:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 11:4
  • +Zek 11:10, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 171

Zekaria 11:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu haikuweza.”

  • *

    Ao “nafsi yao ilinichukia.”

Zekaria 11:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 11:7

Zekaria 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakapima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:14, 15; 27:9; Mk 14:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 15

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2011, uku. 13

    1/12/2010, uku. 10

    Siku ya Yehova, uku. 55

    “Kila Andiko,”

    uku. 169, 172

Zekaria 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:32
  • +Mt 27:5, 6; Mdo 1:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 15

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2011, uku. 13

Zekaria 11:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 11:7
  • +1 Fal. 12:19, 20; Eze 37:16

Zekaria 11:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 34:2, 4

Zekaria 11:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwato ni sehemu ngumu ya chini ya muguu wa munyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:2; Eze 34:6; Mt 9:36
  • +Eze 34:21
  • +Mwa 31:38
  • +Eze 34:3, 10

Zekaria 11:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “litafifia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:1; Mt 23:13
  • +Yoh 10:12

Maandiko ingine

Zek. 11:4Eze 34:8
Zek. 11:5Eze 22:25
Zek. 11:5Ne 5:8
Zek. 11:5Eze 34:2, 4
Zek. 11:7Zek 11:4
Zek. 11:7Zek 11:10, 14
Zek. 11:10Zek 11:7
Zek. 11:12Mt 26:14, 15; 27:9; Mk 14:10, 11
Zek. 11:13Kut 21:32
Zek. 11:13Mt 27:5, 6; Mdo 1:18
Zek. 11:14Zek 11:7
Zek. 11:141 Fal. 12:19, 20; Eze 37:16
Zek. 11:15Eze 34:2, 4
Zek. 11:16Yer 23:2; Eze 34:6; Mt 9:36
Zek. 11:16Eze 34:21
Zek. 11:16Mwa 31:38
Zek. 11:16Eze 34:3, 10
Zek. 11:17Yer 23:1; Mt 23:13
Zek. 11:17Yoh 10:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zekaria 11:1-17

Zekaria

11 “Fungua milango yako, Ee Lebanoni,

Ili moto uteketeze mierezi yako.

 2 Omboleza, Ee muberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka;

Miti yenye utukufu imeharibiwa!

Muomboleze, ninyi mialoni ya Bashani,

Kwa maana pori lenye miti yenye kusongamana limeanguka!

 3 Sikiliza! Maombolezo ya wachungaji,

Kwa maana utukufu wao umeharibiwa.

Sikiliza! Kunguruma kwa wana-simba,*

Kwa maana miti mingi midogo-midogo pembeni ya Yordani imeharibiwa.*

4 “Yehova Mungu wangu anasema hivi: ‘Chunga kundi lenye limepangiwa kuchinjwa,+ 5 lenye wanunuzi wake wanawachinja+ na hawahesabiwe kuwa na hatia. Na wale wenye kuwauzisha+ wanasema, “Yehova asifiwe, kwa maana nitakuwa tajiri.” Na wachungaji wao hawawasikilie huruma.’+

6 “‘Kwa maana sitaonyesha tena wakaaji wa inchi huruma,’ ni vile Yehova anasema. ‘Kwa hiyo nitafanya kila mutu aanguke katika mukono wa jirani yake na wa mufalme wake; na watavunja-vunja inchi, na sitawaokoa kutoka katika mukono wao.’”

7 Na nikaanza kuchunga kundi lenye limepangiwa kuchinjwa,+ kwa ajili yenu, Enyi wenye kuteseka kati ya kundi la wanyama. Kwa hiyo nikakamata fimbo mbili, na nikaita moja Uzuri,+ na ingine Umoja, na nikaanza kuchunga kundi. 8 Na nikaondoa wachungaji watatu (3) katika mwezi mumoja, kwa maana mimi sikuweza* kuwavumilia, na wao walinichukia* mimi pia. 9 Na nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi. Ule mwenye anakufa akufe, na ule mwenye anaangamia aangamie. Na wale wenye kubakia, kila mumoja akule nyama ya mwenzake.” 10 Basi nikakamata fimbo yangu yenye kuitwa Uzuri+ na nikaikata, na hivyo nikavunja agano langu lenye nilikuwa nimefanya pamoja na vikundi vyote vya watu. 11 Basi likavunjwa katika siku hiyo, na wenye kuteseka kati ya kundi wenye walikuwa wananiangalia wakajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.

12 Kisha nikawaambia: “Kama inaonekana muzuri kwenu, munipatie malipo yangu; lakini kama haiko vile, muyaache.” Na wakalipa* malipo yangu, vipande makumi tatu (30) vya feza.+

13 Kisha Yehova akaniambia: “Uitupe katika hazina⁠—⁠samani yenye utukufu yenye walinikadiria.”+ Basi nikakamata vile vipande makumi tatu (30) vya feza, na nikaitupa katika hazina kwenye nyumba ya Yehova.+

14 Kisha nikakata fimbo yangu ya pili, yenye kuitwa Umoja,+ na hivyo nikavunja undugu kati ya Yuda na Israeli.+

15 Na Yehova akaniambia: “Sasa kamata vifaa vya muchungaji mwenye hafae kitu.+ 16 Kwa maana ninaacha muchungaji asimame katika inchi. Hatahangaikia kondoo wenye kuangamia;+ hatatafuta kondoo wadogo wala kuponyesha wenye waliumia+ wala kukulisha wenye wako na uwezo wa kusimama. Tofauti na hilo, anapasua nyama ya mwenye kunenepa+ na anangoa kwato* za kondoo.+

17 Ole wake muchungaji wangu mwenye hana mafaa yoyote,+ mwenye anaacha kundi!+

Upanga utakata mukono wake na jicho lake la kuume.

Mukono wake utakauka kabisa,

Na jicho lake la kuume litapofuka kabisa.”*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine