Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 2 uku. 3
  • Kristo Aliteswa kwa Ajili Yetu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kristo Aliteswa kwa Ajili Yetu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yesu Alitimiza Unabii
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Ushikamanifu kwa Yehova Unaleta Baraka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Wanadamu Wako na Lazima ya Muongozo wa Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Masiya
    Amuka!—2015
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 2 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 52-57

Kristo Aliteswa kwa Ajili Yetu

‘Alizarauliwa na kuepukwa na wanadamu . . . tulimuhesabu kama aliyepata mapigo, aliyepigwa na Mungu na kuteswa’

53:3-5

  • Watu walimuzarau Yesu na kusema kama alikufuru. Wengine waliamini kama Mungu alikuwa anamupa malipizi kwa kumupiga kwa ugonjwa wenye kuchukiza sana

    Yesu aliendelea kuwa mushikamanifu hata kama alijua kwamba alipaswa kuteswa

‘Yehova alipendezwa kumuponda, . . . na mapendezi ya Yehova yatafanikiwa mukononi mwake’

53:10

  • Ni wazi kwamba Yehova aliteseka wakati aliona Mutoto wake anauawa. Lakini alifurahi sana pia kuona Yesu anaendelea kuwa muaminifu. Kifo cha Yesu kilitoa jibu kwa shitaka la Shetani juu ya uaminifu wa watumishi wa Mungu na kililetea faida wanadamu wenye kutubu. Katika maana hiyo, kilisaidia kufanya “mapenzi ya Yehova”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine