WIMBO 94
Aksanti Yehova kwa Kutupatia Neno Yako
Maandishi
1. Maandiko yote iliongozwa
Na roho takatifu ya Yehova.
Inatusaidia kupata hekima.
Inatufundisha njia ya kweli.
2. Maneno ya Mungu iko na nguvu,
Na inajua mawazo ya moyo.
Muko kanuni mingi za kutuongoza
Mu maisha yetu ya kila siku.
3. Na waandikaji wa Neno yako
Walikuwa pia sawa tu siye.
Aksanti sana Baba kwa kutupatia
Biblia ili itusaidie.
(Ona pia Zb. 19:9; 119:16, 162; 2 Ti. 3:16; Yak. 5:17; 2 Pe. 1:21.)