Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 46
  • Aksanti Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Aksanti Yehova
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sala ya Watumishi wa Mungu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Uone Sala Kuwa Pendeleo ya Maana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Maisha ya Painia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Somo 5
    Ninajifunza Biblia
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 46

WIMBO 46

Aksanti Yehova

Maandishi

(1 Watesalonike 5:18)

  1. 1. Aksanti Yehova, tunakusifu

    Kwa kutufundisha kweli yako.

    Aksanti sana kwa kutupatia

    Pendeleo ya kusali kwako.

  2. 2. Aksanti Yehova kwa kumutuma

    Yesu mwenye alitukufia.

    Aksanti sana kwa kutuongoza

    Wakati tunakutumikia.

  3. 3. Aksanti Yehova kwa pendeleo

    ya kuitangaza jina yako.

    Aksanti sana kwa Ufalme wako

    Wenye utamaliza mateso.

(Ona pia Zb. 50:14; 95:2; 147:7; Kol. 3:15.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine