Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 17
  • “Ninataka”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Ninataka”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuonyeshe Upendo Kama Mungu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Upendo—Sifa ya Maana Sana
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 17

WIMBO 17

“Ninataka”

Maandishi

(Luka 5:13)

  1. 1. Yesu Kristo alikuya

    Kwa sababu ya upendo.

    Alisaidia watu wengine

    Kwa maneno na matendo.

    Aliponyesha wagonjwa,

    viziwi, vipofu pia.

    Na kwa watu wa hali ya chini

    Alisema: “Ninataka.”

  2. 2. Tujikaze kumuiga

    Kwa kuwapenda wengine.

    Tuwahubirie na tusikose

    Kuwaonyesha huruma.

    Tuwasaidie ndugu

    Kwa maneno na matendo.

    Kwa mujane na pia yatima,

    Tutasema: “Ninataka.”

(Ona pia Yoh. 18:37; Efe. 3:19; Flp. 2:7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine