WIMBO 46
Aksanti Yehova
Maandishi
1. Aksanti Yehova, tunakusifu
Kwa kutufundisha kweli yako.
Aksanti sana kwa kutupatia
Pendeleo ya kusali kwako.
2. Aksanti Yehova kwa kumutuma
Yesu mwenye alitukufia.
Aksanti sana kwa kutuongoza
Wakati tunakutumikia.
3. Aksanti Yehova kwa pendeleo
ya kuitangaza jina yako.
Aksanti sana kwa Ufalme wako
Wenye utamaliza mateso.
(Ona pia Zb. 50:14; 95:2; 147:7; Kol. 3:15.)