Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 43-44
  • Kutenga na Ushirika

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kutenga na Ushirika
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 43-44

Kutenga na Ushirika

Juu ya nini wazee wanapaswa kuendelea kuwa waangalifu sana juu kutaniko ibakie safi?

2Ti 2:​16, 17; 2Pe 2:​1, 2; Yud 3, 4

Namna gani tendo fulani ya mubaya ya ndugu ao dada inaweza kuchafua kutaniko muzima?

1Ko 5:​1, 2, 5, 6

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yos 7:​1, 4-14, 20-26—Akani na familia yake wanafanya zambi, na ile inaletea taifa yote magumu

    • Yon 1:​1-16—Uasi wa nabii Yona unatia mu hatari uzima wa watu wote wenye wako naye mu mashua

Ni matendo ya namna gani njo haiwezi kukubaliwa mu kutaniko ya Kikristo?

Ro 16:​17, 18; 1Ko 5:11; 1Ti 1:20; Tit 3:​10, 11

Ona pia “Mwenendo wa Wakristo”

Wakristo wenye kubatizwa wenye wanazoea kufanya zambi nzito wanapaswa kufanyiwa nini?

1Ko 5:​11-13

Ona pia 1Yo 3:​4, 6

Wazee wanapaswa kupata habari gani mbele ya kukamata maamuzi ya hukumu?

Kum 13:​12-14; 17:​2-4, 7

Ona pia Mez 18:13; 1Ti 5:21

Nini njo inasaidiaka wazee wenye watatumika mu halmashauri kujua kama zambi nzito ilifanyika?

Mt 18:16; 2Ko 13:1; 1Ti 5:19

Juu ya nini ni jambo ya lazima kutenga ao kukaripia watu fulani, na namna gani ile inaweza kuletea kutaniko faida?

1Ko 5:​3-6; 1Ti 5:20

Biblia inasema nini juu ya namna tunapaswa kuishi na wale wenye kutengwa?

Ro 16:17; 1Ko 5:​11, 13; 2Yo 9-11

Kama kisha wakati fulani mutu mwenye alitengwa anatubu, mambo inaweza kuwa namna gani?

2Ko 2:​6, 7

Ona pia “Kutubu”

Namna gani siye wote tunaweza kusaidia juu kutaniko iendelee kuwa safi?

Law 5:1; Ebr 12:​15, 16

Ona pia Kum 13:​6-11

Juu ya nini ni kosa kwa Mukristo kuficha zambi nzito yenye anafanya, pengine juu ya kuogopa kutengwa?

Zb 32:​1-5; Mez 28:13; Yak 5:​14, 15

Ona pia “Zambi—Kuungama Zambi”

Juu ya nini inaweza kuwa muzuri kuepuka kuwa na uhusiano wa karibu na mutu fulani hata kama haiko mwenye kutengwa?

1Ko 15:33; 2Te 3:14

Kama Mukristo anasingiziwa ao kuibiwa, anaweza kuamua kufanya nini, na juu ya nini?

Mt 18:​15-17, 21, 22; Kol 3:​12-14; 1Pe 4:8

Juu ya nini Wakristo wenye kukomala wanapaswa kupatia wale wenye kutenda bila hekima mashauri?

Gal 6:1; Tit 2:​3-5

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine