Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mwanzo—Yaliyomo

      • Orodha ya mataifa (1-32)

        • Wazao wa Yafethi (2-5)

        • Wazao wa Hamu (6-20)

          • Nimrodi ampinga Yehova (8-12)

        • Wazao wa Shemu (21-31)

Mwanzo 10:1

Marejeo

  • +Lu 3:23, 36
  • +Mwa 9:18, 19

Mwanzo 10:2

Marejeo

  • +Eze 38:6
  • +Eze 38:2
  • +Isa 66:19; Eze 27:13
  • +Zb 120:5; Eze 32:26
  • +1Nya 1:5-7

Mwanzo 10:3

Marejeo

  • +Yer 51:27
  • +Eze 27:14; 38:6

Mwanzo 10:4

Marejeo

  • +Eze 27:7
  • +Yon 1:3
  • +Isa 23:1

Mwanzo 10:6

Marejeo

  • +Mwa 50:11
  • +Yer 46:9; Nah 3:9
  • +Hes 34:2; 1Nya 1:8-10

Mwanzo 10:7

Marejeo

  • +Zb 72:10
  • +Eze 27:22

Mwanzo 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Majiji ya kwanza ya ufalme wake yalikuwa.”

Marejeo

  • +Mwa 11:9
  • +Ezr 4:9
  • +Da 1:2

Mwanzo 10:11

Marejeo

  • +Mik 5:6
  • +Yon 3:3; Mt 12:41

Mwanzo 10:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Yanafanyiza lile jiji kubwa.”

Mwanzo 10:13

Marejeo

  • +Yer 46:9
  • +1Nya 1:11, 12

Mwanzo 10:14

Marejeo

  • +Eze 29:14
  • +Yos 13:2, 3; Yer 47:4
  • +Kum 2:23

Mwanzo 10:15

Marejeo

  • +Yos 13:6; Mk 7:24
  • +Mwa 25:10; 27:46; 1Nya 1:13-16

Mwanzo 10:16

Marejeo

  • +Amu 1:21
  • +Mwa 15:16; Kum 3:8

Mwanzo 10:17

Marejeo

  • +Yos 11:3

Mwanzo 10:18

Marejeo

  • +Eze 27:11
  • +1Fa 8:65

Mwanzo 10:19

Marejeo

  • +Mwa 20:1
  • +Yos 15:20, 47; Mdo 8:26
  • +Mwa 13:10; 19:24; Yud 7
  • +Kum 29:23

Mwanzo 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ndugu mkubwa wa Yafethi.”

Marejeo

  • +Mwa 11:17

Mwanzo 10:22

Marejeo

  • +Ezr 4:9; Mdo 2:8, 9
  • +Eze 27:23
  • +Mwa 11:10
  • +1Nya 1:17

Mwanzo 10:24

Marejeo

  • +Mwa 11:12; Lu 3:23, 35

Mwanzo 10:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mgawanyiko.”

  • *

    Au “wakaaji wa dunia walikuwa wamegawanyika.”

Marejeo

  • +Mwa 11:16
  • +1Nya 1:19

Mwanzo 10:26

Marejeo

  • +1Nya 1:20-23

Mwanzo 10:29

Marejeo

  • +1Fa 9:28; 10:11

Mwanzo 10:31

Marejeo

  • +Mwa 10:5

Mwanzo 10:32

Marejeo

  • +Mwa 9:7, 19; Mdo 17:26

Jumla

Mwa. 10:1Lu 3:23, 36
Mwa. 10:1Mwa 9:18, 19
Mwa. 10:2Eze 38:6
Mwa. 10:2Eze 38:2
Mwa. 10:2Isa 66:19; Eze 27:13
Mwa. 10:2Zb 120:5; Eze 32:26
Mwa. 10:21Nya 1:5-7
Mwa. 10:3Yer 51:27
Mwa. 10:3Eze 27:14; 38:6
Mwa. 10:4Eze 27:7
Mwa. 10:4Yon 1:3
Mwa. 10:4Isa 23:1
Mwa. 10:6Mwa 50:11
Mwa. 10:6Yer 46:9; Nah 3:9
Mwa. 10:6Hes 34:2; 1Nya 1:8-10
Mwa. 10:7Zb 72:10
Mwa. 10:7Eze 27:22
Mwa. 10:10Mwa 11:9
Mwa. 10:10Ezr 4:9
Mwa. 10:10Da 1:2
Mwa. 10:11Mik 5:6
Mwa. 10:11Yon 3:3; Mt 12:41
Mwa. 10:13Yer 46:9
Mwa. 10:131Nya 1:11, 12
Mwa. 10:14Eze 29:14
Mwa. 10:14Yos 13:2, 3; Yer 47:4
Mwa. 10:14Kum 2:23
Mwa. 10:15Yos 13:6; Mk 7:24
Mwa. 10:15Mwa 25:10; 27:46; 1Nya 1:13-16
Mwa. 10:16Amu 1:21
Mwa. 10:16Mwa 15:16; Kum 3:8
Mwa. 10:17Yos 11:3
Mwa. 10:18Eze 27:11
Mwa. 10:181Fa 8:65
Mwa. 10:19Mwa 20:1
Mwa. 10:19Yos 15:20, 47; Mdo 8:26
Mwa. 10:19Mwa 13:10; 19:24; Yud 7
Mwa. 10:19Kum 29:23
Mwa. 10:21Mwa 11:17
Mwa. 10:22Ezr 4:9; Mdo 2:8, 9
Mwa. 10:22Eze 27:23
Mwa. 10:22Mwa 11:10
Mwa. 10:221Nya 1:17
Mwa. 10:24Mwa 11:12; Lu 3:23, 35
Mwa. 10:25Mwa 11:16
Mwa. 10:251Nya 1:19
Mwa. 10:261Nya 1:20-23
Mwa. 10:291Fa 9:28; 10:11
Mwa. 10:31Mwa 10:5
Mwa. 10:32Mwa 9:7, 19; Mdo 17:26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mwanzo 10:1-32

Mwanzo

10 Hii ndiyo historia ya wana wa Noa, yaani, Shemu,+ Hamu, na Yafethi.

Walizaa wana baada ya Gharika.+ 2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri,+ Magogu,+ Madai, Yavani, Tubali,+ Mesheki,+ na Tirasi.+

3 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi,+ Rifathi, na Togarma.+

4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha,+ Tarshishi,+ Kitimu,+ na Dodanimu.

5 Kutokana na hawa, wakaaji wa visiwani walienea katika nchi zao, kulingana na lugha zao na koo zao na kulingana na mataifa yao.

6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu,+ Putu,+ na Kanaani.+

7 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.

8 Kushi akamzaa Nimrodi. Nimrodi ndiye aliyekuwa shujaa wa kwanza duniani. 9 Alikuwa mwindaji hodari aliyempinga Yehova. Ndiyo sababu kuna msemo usemao: “Kama Nimrodi, mwindaji hodari aliyempinga Yehova.” 10 Ufalme wake ulianzia* Babeli,+ Ereki,+ Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.+ 11 Kutoka katika nchi hiyo alienda Ashuru+ na kujenga Ninawi,+ Rehoboth-Iri, Kala, 12 na Reseni, kati ya Ninawi na Kala: Hilo ndilo lile jiji kubwa.*

13 Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 14 Pathrusimu,+ Kasluhimu (hao ndio waliowazaa Wafilisti),+ na Kaftorimu.+

15 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ 16 na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi, 17 Wahivi,+ Waarkia, Wasini, 18 Waarvadi,+ Wasemari, na Wahamathi.+ Baadaye, koo za Wakanaani zilitawanyika. 19 Basi mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni mpaka Gerari,+ karibu na Gaza,+ hadi Sodoma, Gomora,+ Adma, na Seboiimu,+ karibu na Lasha. 20 Hao ndio waliokuwa wana wa Hamu kulingana na koo zao, lugha zao, nchi zao, na mataifa yao.

21 Shemu, babu ya wana wote wa Eberi+ na ndugu ya Yafethi mkubwa kuliko wote,* pia alizaa watoto. 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+

23 Wana wa Aramu walikuwa Usi, Huli, Getheri, na Mashi.

24 Arpakshadi akamzaa Shela,+ naye Shela akamzaa Eberi.

25 Eberi alizaa wana wawili. Mmoja aliitwa Pelegi,*+ kwa sababu katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika.* Ndugu yake aliitwa Yoktani.+

26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hazarmavethi, Yera,+ 27 Hadoramu, Uzali, Dikla, 28 Obali, Abimaeli, Sheba, 29 Ofiri,+ Havila, na Yobabu; wote hao walikuwa wana wa Yoktani.

30 Nchi walimokaa ilianzia Mesha mpaka Sefari, eneo lenye milima la Mashariki.

31 Hao ndio waliokuwa wana wa Shemu kulingana na koo zao, lugha zao, nchi zao, na mataifa yao.+

32 Hizo ndizo zilizokuwa familia za wana wa Noa kulingana na koo zao na mataifa yao. Kutokana nao, mataifa yalienea duniani kote baada ya Gharika.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki