Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 148
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Uumbaji wote na umsifu Yehova

        • “Msifuni, enyi malaika wake wote” (2)

        • ‘Msifuni, jua, mwezi, na nyota’ (3)

        • Vijana kwa wazee na wamsifu Mungu (12, 13)

Zaburi 148:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Zb 89:5

Zaburi 148:2

Marejeo

  • +Zb 103:20; Lu 2:13
  • +Yer 32:18; Yud 14

Zaburi 148:3

Marejeo

  • +Zb 19:1

Zaburi 148:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbingu za mbingu.”

Zaburi 148:5

Marejeo

  • +Zb 33:6

Zaburi 148:6

Marejeo

  • +Zb 89:37
  • +Zb 119:91; Yer 31:35, 36; 33:25

Zaburi 148:8

Marejeo

  • +Kut 9:23; Zb 107:25; Isa 30:30

Zaburi 148:9

Marejeo

  • +Zb 98:8
  • +1Nya 16:33; Isa 44:23

Zaburi 148:10

Marejeo

  • +Isa 43:20

Zaburi 148:11

Marejeo

  • +Zb 2:10, 11

Zaburi 148:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mabikira.”

  • *

    Au “Wakubwa kwa wadogo.”

Zaburi 148:13

Marejeo

  • +Zb 8:1; Isa 12:4
  • +1Fa 8:27; 1Nya 29:11

Zaburi 148:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe.”

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Jumla

Zab. 148:1Zb 89:5
Zab. 148:2Zb 103:20; Lu 2:13
Zab. 148:2Yer 32:18; Yud 14
Zab. 148:3Zb 19:1
Zab. 148:5Zb 33:6
Zab. 148:6Zb 89:37
Zab. 148:6Zb 119:91; Yer 31:35, 36; 33:25
Zab. 148:8Kut 9:23; Zb 107:25; Isa 30:30
Zab. 148:9Zb 98:8
Zab. 148:91Nya 16:33; Isa 44:23
Zab. 148:10Isa 43:20
Zab. 148:11Zb 2:10, 11
Zab. 148:13Zb 8:1; Isa 12:4
Zab. 148:131Fa 8:27; 1Nya 29:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 148:1-14

Zaburi

148 Msifuni Yah!*

Msifuni Yehova kutoka mbinguni,+

Msifuni katika vilele.

 2 Msifuni, enyi malaika wake wote.+

Msifuni, enyi jeshi lake lote.+

 3 Msifuni, enyi jua na mwezi.

Msifuni, enyi nyota zote zinazong’aa.+

 4 Msifuni, enyi mbingu zilizo juu kabisa*

Na maji yaliyo juu ya mbingu.

 5 Na vilisifu jina la Yehova,

Kwa maana aliamuru, navyo vikaumbwa.+

 6 Huvifanya viendelee kuwa imara milele na milele;+

Ametoa agizo ambalo halitapitilia mbali.+

 7 Msifuni Yehova kutoka duniani,

Enyi viumbe wakubwa wa baharini na pia vilindi vyote vya maji,

 8 Enyi radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu mazito,

Ewe kimbunga, unayetekeleza neno lake,+

 9 Enyi milima na vilima vyote,+

Enyi miti ya matunda na mierezi yote,+

10 Enyi wanyama wa mwituni+ na wanyama wote wa kufugwa,

Enyi viumbe mnaotambaa na ndege wenye mabawa,

11 Enyi wafalme wa dunia, nanyi mataifa yote,

Enyi wakuu na waamuzi wote wa dunia,+

12 Enyi vijana wa kiume na wa kike,*

Wazee pamoja na watoto.*

13 Na walisifu jina la Yehova,

Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

14 Ataikweza nguvu* ya watu wake,

Kwa sifa ya washikamanifu wake wote,

Ya wana wa Israeli, watu walio karibu naye.

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki