Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Upendo mshikamanifu wa Mungu wenye thamani

        • Mwovu hamwogopi Mungu (1)

        • Mungu ni chanzo cha uhai (9)

        • “Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru” (9)

Zaburi 36:1

Marejeo

  • +Ro 3:18

Zaburi 36:2

Marejeo

  • +Kum 29:19, 20

Zaburi 36:5

Marejeo

  • +Zb 103:11

Zaburi 36:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kama milima ya Mungu.”

  • *

    Au “Unawaokoa.”

Marejeo

  • +Zb 71:19
  • +Ro 11:33
  • +Zb 145:9; 1Ti 4:10

Zaburi 36:7

Marejeo

  • +Mik 7:18
  • +Ru 2:12; Zb 17:8; 91:4

Zaburi 36:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mafuta ya.”

Marejeo

  • +Zb 65:4
  • +Zb 16:11

Zaburi 36:9

Marejeo

  • +Ayu 33:4; Yer 2:13; Mdo 17:28; Ufu 4:11
  • +Zb 27:1; 43:3; Yak 1:17; 1Pe 2:9

Zaburi 36:10

Marejeo

  • +Zb 103:17
  • +Zb 7:10; 97:11

Zaburi 36:12

Marejeo

  • +Zb 1:5

Jumla

Zab. 36:1Ro 3:18
Zab. 36:2Kum 29:19, 20
Zab. 36:5Zb 103:11
Zab. 36:6Zb 71:19
Zab. 36:6Ro 11:33
Zab. 36:6Zb 145:9; 1Ti 4:10
Zab. 36:7Mik 7:18
Zab. 36:7Ru 2:12; Zb 17:8; 91:4
Zab. 36:8Zb 65:4
Zab. 36:8Zb 16:11
Zab. 36:9Ayu 33:4; Yer 2:13; Mdo 17:28; Ufu 4:11
Zab. 36:9Zb 27:1; 43:3; Yak 1:17; 1Pe 2:9
Zab. 36:10Zb 103:17
Zab. 36:10Zb 7:10; 97:11
Zab. 36:12Zb 1:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 36:1-12

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa Daudi, mtumishi wa Yehova.

36 Dhambi huzungumza na mwovu ndani kabisa ya moyo wake;

Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+

 2 Kwa maana hujisifusifu sana machoni pake mwenyewe

Hivi kwamba hawezi kutambua kosa lake na kulichukia.+

 3 Maneno ya kinywa chake yanadhuru na ni ya udanganyifu;

Haonyeshi ufahamu wowote wa kutenda mema.

 4 Hupanga njama zinazodhuru hata kitandani mwake.

Hufuatia njia isiyo njema;

Hakatai lililo baya.

 5 Ee Yehova, upendo wako mshikamanifu unafika mpaka mbinguni,+

Uaminifu wako mpaka mawinguni.

 6 Uadilifu wako ni kama milima mikubwa;*+

Hukumu zako ni kama maji mengi yenye kina.+

Unawahifadhi* wanadamu na wanyama, Ee Yehova.+

 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+

Katika kivuli cha mabawa yako,

Wanadamu hukimbilia.+

 8 Wanakunywa na kushiba vitu vinono vya* nyumba yako,+

Nawe huwanywesha kwenye kijito cha vitu vyako vinavyofurahisha.+

 9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+

Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+

10 Endelea kuwatendea kwa upendo wako mshikamanifu wale wanaokujua,+

Na kuwaonyesha uadilifu wako walio wanyoofu moyoni.+

11 Usiruhusu mguu wa mwenye kiburi unikanyage

Wala mkono wa mwovu unifukuze.

12 Watenda maovu wameanguka huko;

Wamepigwa na kuangushwa chini na hawawezi kusimama.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki