Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kuutumaini upendo mshikamanifu wa Mungu

        • Wanaojigamba kwa sababu ya uovu waonywa (1-5)

        • Wasiomwogopa Mungu wanautumaini utajiri (7)

Zaburi 52:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Sa 22:9

Zaburi 52:1

Marejeo

  • +1Sa 21:7; Zb 94:3, 4
  • +Zb 103:17

Zaburi 52:2

Marejeo

  • +Zb 57:4; 59:7
  • +1Sa 22:9, 18; Zb 109:2

Zaburi 52:5

Marejeo

  • +Met 12:19; 19:9
  • +Zb 37:9
  • +Met 2:22

Zaburi 52:6

Marejeo

  • +Zb 37:34
  • +Zb 58:10

Zaburi 52:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ngome yake.”

  • *

    Au “kujificha katika.”

  • *

    Tnn., “taabu anazosababisha.”

Marejeo

  • +Yer 17:5
  • +Zb 49:6, 7; Met 11:28

Zaburi 52:8

Marejeo

  • +Zb 13:5; 147:11

Zaburi 52:9

Marejeo

  • +Zb 50:15
  • +Zb 27:14; 123:2; Met 18:10

Jumla

Zab. 52:utangulizi1Sa 22:9
Zab. 52:11Sa 21:7; Zb 94:3, 4
Zab. 52:1Zb 103:17
Zab. 52:2Zb 57:4; 59:7
Zab. 52:21Sa 22:9, 18; Zb 109:2
Zab. 52:5Met 12:19; 19:9
Zab. 52:5Zb 37:9
Zab. 52:5Met 2:22
Zab. 52:6Zb 37:34
Zab. 52:6Zb 58:10
Zab. 52:7Yer 17:5
Zab. 52:7Zb 49:6, 7; Met 11:28
Zab. 52:8Zb 13:5; 147:11
Zab. 52:9Zb 50:15
Zab. 52:9Zb 27:14; 123:2; Met 18:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 52:1-9

Zaburi

Kwa kiongozi. Maskili.* Wa Daudi, Doegi Mwedomu alipokuja na kumwambia Sauli kwamba Daudi alikuwa ameenda kwenye nyumba ya Ahimeleki.+

52 Kwa nini unajigamba kuhusu matendo yako maovu, ewe mwenye nguvu?+

Upendo mshikamanifu wa Mungu unadumu mchana kutwa.+

 2 Ulimi wako, wenye makali kama wembe,+

Hupanga madhara na kutunga mambo ya udanganyifu.+

 3 Unapenda uovu kuliko mema,

Kusema uwongo kuliko kusema ukweli. (Sela)

 4 Unapenda kila neno linalodhuru,

Ewe ulimi mdanganyifu!

 5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+

Atakunyakua na kukurarua kutoka katika hema lako;+

Atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ (Sela)

 6 Waadilifu wataona jambo hilo na kujawa na woga,+

Nao watamcheka.+

 7 “Huyu ndiye mwanamume ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake,*+

Lakini aliutumaini utajiri wake mwingi+

Na kutegemea* njama zake mwenyewe za uovu.”*

 8 Lakini mimi nitakuwa kama mzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;

Ninautumaini upendo mshikamanifu wa Mungu,+ milele na milele.

 9 Nitakusifu milele kwa sababu umechukua hatua;+

Mbele ya washikamanifu wako,

Nitalitumaini jina lako,+ kwa maana ni jema.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki