Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 57
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba kibali

        • Kimbilio chini ya mabawa ya Mungu (1)

        • Maadui waanguka katika mtego wao wenyewe (6)

Zaburi 57:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Sa 22:1; 24:3; Zb 142:utangulizi

Zaburi 57:1

Marejeo

  • +Zb 18:2
  • +Ru 2:12; Zb 17:8

Zaburi 57:3

Marejeo

  • +Zb 144:7; Mdo 12:11
  • +Zb 40:11; 61:7

Zaburi 57:4

Marejeo

  • +Zb 22:13; 35:17
  • +Zb 52:2; 64:3; Met 25:18

Zaburi 57:5

Marejeo

  • +Zb 57:11; 108:5

Zaburi 57:6

Marejeo

  • +Zb 35:7
  • +Zb 42:6
  • +1Sa 24:4; Met 26:27

Zaburi 57:7

Marejeo

  • +Zb 112:7

Zaburi 57:8

Marejeo

  • +Zb 108:2-5

Zaburi 57:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakupigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 9:11; 145:11, 12
  • +Ro 15:9

Zaburi 57:10

Marejeo

  • +Zb 36:5; 103:11

Zaburi 57:11

Marejeo

  • +Zb 8:1; 57:5; 108:5

Jumla

Zab. 57:utangulizi1Sa 22:1; 24:3; Zb 142:utangulizi
Zab. 57:1Zb 18:2
Zab. 57:1Ru 2:12; Zb 17:8
Zab. 57:3Zb 144:7; Mdo 12:11
Zab. 57:3Zb 40:11; 61:7
Zab. 57:4Zb 22:13; 35:17
Zab. 57:4Zb 52:2; 64:3; Met 25:18
Zab. 57:5Zb 57:11; 108:5
Zab. 57:6Zb 35:7
Zab. 57:6Zb 42:6
Zab. 57:61Sa 24:4; Met 26:27
Zab. 57:7Zb 112:7
Zab. 57:8Zb 108:2-5
Zab. 57:9Zb 9:11; 145:11, 12
Zab. 57:9Ro 15:9
Zab. 57:10Zb 36:5; 103:11
Zab. 57:11Zb 8:1; 57:5; 108:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 57:1-11

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Usiharibu.” Wa Daudi. Miktamu.* Alipomkimbia Sauli na kuingia pangoni.+

57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,

Kwa maana ninakukimbilia,+

Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+

 2 Ninamlilia Mungu Aliye Juu Zaidi,

Mungu wa kweli, anayeyakomesha kwa ajili yangu.

 3 Atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa.+

Atamtamausha yule anayejaribu kuning’ata. (Sela)

Mungu atatuma upendo wake mshikamanifu na uaminifu wake.+

 4 Nimezungukwa na simba;+

Nimelazimika kulala miongoni mwa watu wanaotaka kuninyafua,

Ambao meno yao ni mikuki na mishale

Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+

 5 Ukwezwe juu ya mbingu, Ee Mungu;

Utukufu wako na uwe juu ya dunia yote.+

 6 Wameutayarisha wavu ili kuinasa miguu yangu;+

Taabu zimenifanya niiname chini.+

Wamechimba shimo mbele yangu,

Lakini wao wenyewe wameanguka ndani yake.+ (Sela)

 7 Moyo wangu uko imara, Ee Mungu,+

Moyo wangu uko imara.

Nitaimba na kupiga muziki.

 8 Amka, utukufu wangu.

Amka, Ee kinanda; nawe pia, Ee kinubi.

Nitayaamsha mapambazuko.+

 9 Nitakusifu miongoni mwa mataifa, Ee Yehova;+

Nitakuimbia sifa* miongoni mwa mataifa.+

10 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkubwa, uko juu kama mbingu,+

Na uaminifu wako, unafika mpaka angani.

11 Ukwezwe juu ya mbingu, Ee Mungu;

Utukufu wako na uwe juu ya dunia yote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki