Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ombi la kupata kibali

        • Waliokufa hawamsifu Mungu (5)

        • Mungu husikia sala za kuomba kibali (9)

Zaburi 6:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 6:1

Marejeo

  • +Zb 38:1; Yer 10:24

Zaburi 6:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rehema.”

Marejeo

  • +Zb 41:4; 103:2, 3

Zaburi 6:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yangu inasumbuka.”

Marejeo

  • +Mt 26:38, 39
  • +Zb 13:1, 2

Zaburi 6:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uiokoe nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 50:15
  • +Zb 119:88; Omb 3:22

Zaburi 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawakukumbuki.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Zb 30:9; 115:17; Mhu 9:5, 10

Zaburi 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ninakifanya kitanda changu kiogelee.”

Marejeo

  • +Zb 69:3
  • +Zb 39:12

Zaburi 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Limezeeka.”

Marejeo

  • +Zb 31:9

Zaburi 6:8

Marejeo

  • +Zb 3:4; 145:18, 19; Ebr 5:7

Zaburi 6:9

Marejeo

  • +Zb 31:22; 40:1; Yon 2:2

Zaburi 6:10

Marejeo

  • +Zb 40:14; Yer 20:11

Jumla

Zab. 6:1Zb 38:1; Yer 10:24
Zab. 6:2Zb 41:4; 103:2, 3
Zab. 6:3Mt 26:38, 39
Zab. 6:3Zb 13:1, 2
Zab. 6:4Zb 50:15
Zab. 6:4Zb 119:88; Omb 3:22
Zab. 6:5Zb 30:9; 115:17; Mhu 9:5, 10
Zab. 6:6Zb 69:3
Zab. 6:6Zb 39:12
Zab. 6:7Zb 31:9
Zab. 6:8Zb 3:4; 145:18, 19; Ebr 5:7
Zab. 6:9Zb 31:22; 40:1; Yon 2:2
Zab. 6:10Zb 40:14; Yer 20:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 6:1-10

Zaburi

Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda vilivyopatanishwa na sauti ya Sheminithi.* Muziki wa Daudi.

6 Ee Yehova, usinikaripie katika hasira yako,

Na usinirekebishe katika ghadhabu yako.+

 2 Nionyeshe kibali,* Ee Yehova, kwa maana ninadhoofika.

Niponye, Ee Yehova,+ kwa maana mifupa yangu inatetemeka.

 3 Naam, ninasumbuka* sana,+

Nami nakuuliza, Ee Yehova—nitasumbuka mpaka lini?+

 4 Rudi, Ee Yehova, uniokoe;*+

Niokoe kwa ajili ya upendo wako mshikamanifu.+

 5 Kwa maana waliokufa hawakutaji;*

Katika kaburi,* ni nani atakayekusifu?+

 6 Nimechoka kwa sababu ya kulia kwa uchungu;+

Usiku kucha ninakilowesha kitanda changu kwa machozi;*

Kochi langu nalifanya lifurike kwa machozi.+

 7 Jicho langu limedhoofika kwa sababu ya huzuni yangu;+

Limeingia giza* kwa sababu ya wote wanaoninyanyasa.

 8 Niondokeeni, ninyi nyote mnaotenda maovu,

Kwa maana Yehova atasikia sauti ya kilio changu.+

 9 Yehova atasikia ombi langu la kutaka kibali;+

Yehova ataikubali sala yangu.

10 Maadui wangu wote wataaibishwa na kutamaushwa;

Watarudi nyuma ghafla kwa aibu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki