Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba warudishwe

        • Mungu atawaambia washikamanifu wake kuhusu amani (8)

        • Upendo mshikamanifu utakutana na uaminifu (10)

Zaburi 85:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 20:19

Zaburi 85:1

Marejeo

  • +Law 26:42; Yoe 2:18
  • +Ezr 2:1; Yer 30:18; Eze 39:25

Zaburi 85:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Uliifunika.”

Marejeo

  • +Yer 50:20; Mik 7:18

Zaburi 85:3

Marejeo

  • +Zb 103:9; Isa 12:1

Zaburi 85:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tukusanye tena.”

Marejeo

  • +Zb 80:3, 4

Zaburi 85:5

Marejeo

  • +Zb 74:1; 79:5

Zaburi 85:6

Marejeo

  • +Ezr 3:11; Yer 33:10, 11

Zaburi 85:7

Marejeo

  • +Omb 3:22

Zaburi 85:8

Marejeo

  • +Isa 57:19
  • +Kum 8:17, 18; Zb 78:7

Zaburi 85:9

Marejeo

  • +Isa 46:13

Zaburi 85:10

Marejeo

  • +Zb 72:3; Isa 32:17

Zaburi 85:11

Marejeo

  • +Isa 26:9; 45:8

Zaburi 85:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ufanisi.”

Marejeo

  • +Zb 84:11; Yak 1:17
  • +Law 26:4; Zb 67:6; Isa 25:6; 30:23

Zaburi 85:13

Marejeo

  • +Zb 89:14

Jumla

Zab. 85:utangulizi2Nya 20:19
Zab. 85:1Law 26:42; Yoe 2:18
Zab. 85:1Ezr 2:1; Yer 30:18; Eze 39:25
Zab. 85:2Yer 50:20; Mik 7:18
Zab. 85:3Zb 103:9; Isa 12:1
Zab. 85:4Zb 80:3, 4
Zab. 85:5Zb 74:1; 79:5
Zab. 85:6Ezr 3:11; Yer 33:10, 11
Zab. 85:7Omb 3:22
Zab. 85:8Isa 57:19
Zab. 85:8Kum 8:17, 18; Zb 78:7
Zab. 85:9Isa 46:13
Zab. 85:10Zb 72:3; Isa 32:17
Zab. 85:11Isa 26:9; 45:8
Zab. 85:12Zb 84:11; Yak 1:17
Zab. 85:12Law 26:4; Zb 67:6; Isa 25:6; 30:23
Zab. 85:13Zb 89:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 85:1-13

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa wana wa Kora.+

85 Ee Yehova, umeionyesha kibali nchi yako;+

Uliwarudisha watu wa Yakobo waliokuwa wametekwa.+

 2 Umelisamehe kosa la watu wako;

Ulisamehe* dhambi yao yote.+ (Sela)

 3 Uliizuia ghadhabu yako yote;

Uliiacha hasira yako kali.+

 4 Turudishe,* Ee Mungu wa wokovu wetu,

Na uache kutukasirikia.+

 5 Je, utatughadhibikia milele?+

Je, utaendelea kukasirika kizazi baada ya kizazi?

 6 Je, hutatuhuisha tena

Ili watu wako washangilie kwa sababu yako?+

 7 Ee Yehova, tutendee kwa upendo mshikamanifu,+

Nawe utupe wokovu wako.

 8 Nitasikiliza jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova anasema,

Kwa maana atawaambia watu wake kuhusu amani,+ washikamanifu wake,

Lakini wasianze tena kujiamini kupita kiasi.+

 9 Kwa hakika wokovu wake uko karibu na wale wanaomwogopa,+

Ili utukufu wake ukae katika nchi yetu.

10 Upendo mshikamanifu utakutana na uaminifu;

Uadilifu utabusiana na amani.+

11 Uaminifu utachipuka duniani,

Na uadilifu utatazama chini kutoka mbinguni.+

12 Naam, Yehova atatoa kilicho chema,*+

Na nchi yetu itazaa mavuno yake.+

13 Uadilifu utatembea mbele zake+

Na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki