Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Mwimbieni Yehova wimbo mpya”

        • Yehova anastahili kusifiwa kuliko wote (4)

        • Miungu ya mataifa ni ubatili (5)

        • Abuduni katika mapambo matakatifu (9)

Zaburi 96:1

Marejeo

  • +Zb 33:3; 40:3; 98:1; 149:1; Isa 42:10
  • +1Nya 16:23-25; Zb 66:4

Zaburi 96:2

Marejeo

  • +Zb 40:10; 71:15; Isa 52:7

Zaburi 96:3

Marejeo

  • +Mt 28:19; 1Pe 2:9; Ufu 14:6

Zaburi 96:5

Marejeo

  • +Zb 97:7; Isa 44:10
  • +1Nya 16:26; 1Ko 8:4

Zaburi 96:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “adhama.”

Marejeo

  • +Kut 24:9, 10; Isa 6:1-3; Eze 1:27, 28; Ufu 4:2, 3
  • +1Nya 16:27; 29:11

Zaburi 96:7

Marejeo

  • +1Nya 16:28-33; Zb 29:1

Zaburi 96:8

Marejeo

  • +Zb 29:2; 72:19

Zaburi 96:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mwabuduni.”

  • *

    Au labda, “kwa sababu ya fahari ya utakatifu wake.”

Zaburi 96:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutikiswa.”

  • *

    Au “Ataamua kesi ya.”

Marejeo

  • +Zb 93:1; 97:1; Ufu 11:15; 19:6
  • +Zb 67:4; 98:9

Zaburi 96:11

Marejeo

  • +Zb 98:7

Zaburi 96:12

Marejeo

  • +Zb 65:13
  • +1Nya 16:33

Zaburi 96:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amekuja.”

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Zb 9:8; 98:9; Mdo 17:31; 2Pe 3:7
  • +Kum 32:4

Jumla

Zab. 96:1Zb 33:3; 40:3; 98:1; 149:1; Isa 42:10
Zab. 96:11Nya 16:23-25; Zb 66:4
Zab. 96:2Zb 40:10; 71:15; Isa 52:7
Zab. 96:3Mt 28:19; 1Pe 2:9; Ufu 14:6
Zab. 96:5Zb 97:7; Isa 44:10
Zab. 96:51Nya 16:26; 1Ko 8:4
Zab. 96:6Kut 24:9, 10; Isa 6:1-3; Eze 1:27, 28; Ufu 4:2, 3
Zab. 96:61Nya 16:27; 29:11
Zab. 96:71Nya 16:28-33; Zb 29:1
Zab. 96:8Zb 29:2; 72:19
Zab. 96:10Zb 93:1; 97:1; Ufu 11:15; 19:6
Zab. 96:10Zb 67:4; 98:9
Zab. 96:11Zb 98:7
Zab. 96:12Zb 65:13
Zab. 96:121Nya 16:33
Zab. 96:13Mwa 18:25; Zb 9:8; 98:9; Mdo 17:31; 2Pe 3:7
Zab. 96:13Kum 32:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 96:1-13

Zaburi

96 Mwimbieni Yehova wimbo mpya.+

Mwimbieni Yehova, dunia yote!+

 2 Mwimbieni Yehova; lisifuni jina lake.

Tangazeni habari njema za wokovu wake siku baada ya siku.+

 3 Tangazeni utukufu wake miongoni mwa mataifa,

Kazi zake zinazostaajabisha miongoni mwa mataifa yote.+

 4 Yehova ni mkuu na anastahili kusifiwa kuliko wote.

Anaogopesha kuliko miungu mingine yote.

 5 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+

Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+

 6 Mbele zake kuna utukufu* na fahari;+

Nguvu na uzuri umo mahali pake patakatifu.+

 7 Mpeni Yehova anachostahili, enyi familia za mataifa,

Mpeni Yehova anachostahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+

 8 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

Leteni zawadi na mwingie katika nyua zake.

 9 Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu;*

Tetemekeni mbele zake, dunia yote!

10 Tangazeni miongoni mwa mataifa: “Yehova amekuwa Mfalme!+

Dunia imeimarishwa kabisa, haiwezi kusogezwa.*

Atayahukumu* mataifa kwa haki.”+

11 Mbingu na zishangilie, dunia na iwe na shangwe;

Bahari na ingurume na vitu vyote vinavyoijaza;+

12 Mashamba na vitu vyote vilivyomo na vishangilie.+

Wakati uleule miti yote ya msituni na ishangilie kwa sauti+

13 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja,*

Anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa+

Na mataifa kwa uaminifu wake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki