Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 35
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kutoka—Yaliyomo

      • Maagizo kuhusu Sabato (1-3)

      • Michango ya hema la ibada (4-29)

      • Bezaleli na Oholiabu wajazwa roho (30-35)

Kutoka 35:1

Marejeo

  • +Kut 34:32

Kutoka 35:2

Marejeo

  • +Kut 20:9, 10; Law 23:3
  • +Kut 31:14, 15; Hes 15:32, 35

Kutoka 35:5

Marejeo

  • +Kut 25:2-7; 35:29
  • +2Ko 8:12; 9:7

Kutoka 35:6

Marejeo

  • +Kut 26:7; 36:8

Kutoka 35:8

Marejeo

  • +Kut 25:3, 6

Kutoka 35:9

Marejeo

  • +Kut 28:9; 39:14
  • +Kut 28:15

Kutoka 35:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye hekima moyoni.”

Marejeo

  • +Kut 31:6; 36:1

Kutoka 35:12

Marejeo

  • +Kut 25:10
  • +Kut 25:13
  • +Kut 25:17
  • +Kut 26:31

Kutoka 35:13

Marejeo

  • +Kut 25:23
  • +Kut 25:30; Law 24:5, 6

Kutoka 35:14

Marejeo

  • +Kut 25:31
  • +Kut 27:20

Kutoka 35:15

Marejeo

  • +Kut 30:1; 37:25; 40:5
  • +Kut 30:34, 35

Kutoka 35:16

Marejeo

  • +Kut 27:1
  • +Kut 30:18; 38:8

Kutoka 35:17

Marejeo

  • +Kut 27:9

Kutoka 35:18

Marejeo

  • +Kut 27:19

Kutoka 35:19

Marejeo

  • +Kut 31:6, 10; 39:33, 41
  • +Kut 39:1

Kutoka 35:21

Marejeo

  • +Kut 25:2; 36:2; 2Ko 8:12; 9:7

Kutoka 35:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matoleo yao ya kutikiswa.”

Marejeo

  • +Kut 38:24

Kutoka 35:25

Marejeo

  • +Kut 28:3; 31:6; 36:8

Kutoka 35:27

Marejeo

  • +Kut 28:15, 28; 39:15, 21

Kutoka 35:28

Marejeo

  • +Kut 30:23-25
  • +Kut 30:34, 35

Kutoka 35:29

Marejeo

  • +Kut 36:5; 2Ko 9:7

Kutoka 35:30

Marejeo

  • +Kut 31:2-6

Kutoka 35:34

Marejeo

  • +Kut 36:1

Kutoka 35:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hekima moyoni ya.”

Marejeo

  • +Kut 31:3

Jumla

Kut. 35:1Kut 34:32
Kut. 35:2Kut 20:9, 10; Law 23:3
Kut. 35:2Kut 31:14, 15; Hes 15:32, 35
Kut. 35:5Kut 25:2-7; 35:29
Kut. 35:52Ko 8:12; 9:7
Kut. 35:6Kut 26:7; 36:8
Kut. 35:8Kut 25:3, 6
Kut. 35:9Kut 28:9; 39:14
Kut. 35:9Kut 28:15
Kut. 35:10Kut 31:6; 36:1
Kut. 35:12Kut 25:10
Kut. 35:12Kut 25:13
Kut. 35:12Kut 25:17
Kut. 35:12Kut 26:31
Kut. 35:13Kut 25:23
Kut. 35:13Kut 25:30; Law 24:5, 6
Kut. 35:14Kut 25:31
Kut. 35:14Kut 27:20
Kut. 35:15Kut 30:1; 37:25; 40:5
Kut. 35:15Kut 30:34, 35
Kut. 35:16Kut 27:1
Kut. 35:16Kut 30:18; 38:8
Kut. 35:17Kut 27:9
Kut. 35:18Kut 27:19
Kut. 35:19Kut 39:1
Kut. 35:19Kut 31:6, 10; 39:33, 41
Kut. 35:21Kut 25:2; 36:2; 2Ko 8:12; 9:7
Kut. 35:22Kut 38:24
Kut. 35:25Kut 28:3; 31:6; 36:8
Kut. 35:27Kut 28:15, 28; 39:15, 21
Kut. 35:28Kut 30:23-25
Kut. 35:28Kut 30:34, 35
Kut. 35:29Kut 36:5; 2Ko 9:7
Kut. 35:30Kut 31:2-6
Kut. 35:34Kut 36:1
Kut. 35:35Kut 31:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Kutoka 35:1-35

Kutoka

35 Baadaye Musa akalikusanya pamoja kusanyiko lote la Waisraeli na kuliambia: “Haya ndiyo mambo ambayo Yehova ameamuru yafanywe:+ 2 Mtafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, ni sabato ya pumziko kamili kwa Yehova.+ Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo atauawa.+ 3 Hampaswi kuwasha moto katika makao yenu yoyote siku ya Sabato.”

4 Kisha Musa akaliambia kusanyiko lote la Waisraeli: “Yehova ameamuru hivi: 5 ‘Mtoleeni Yehova mchango kutoka miongoni mwenu.+ Kila mtu aliye na moyo wa kutoa kwa hiari+ na amletee Yehova mchango wa dhahabu, fedha, shaba, 6 nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, kitani bora, manyoya ya mbuzi,+ 7 ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za sili, mbao za mshita, 8 mafuta kwa ajili ya taa, mafuta ya zeri ya kutengenezea mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na uvumba uliotiwa manukato,+ 9 mawe ya shohamu, na mawe mengine ya kupambia efodi+ na kifuko cha kifuani.+

10 “‘Watu wote ambao ni stadi*+ kati yenu na waje kutengeneza kila kitu ambacho Yehova ameamuru, 11 yaani, hema la ibada na kifuniko chake, kulabu zake na viunzi vyake vya mbao, fito zake, nguzo zake, na vikalio vyake; 12 Sanduku la Agano+ na fito zake,+ kifuniko,+ na pazia+ linalofunika sanduku hilo; 13 meza+ na fito zake na vyombo vyake vyote na mikate ya wonyesho;+ 14 kinara cha taa+ na vyombo vyake na taa zake na mafuta yake;+ 15 madhabahu ya uvumba+ na fito zake; mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na uvumba uliotiwa manukato;+ pazia la mlango wa hema la ibada; 16 madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ na wavu wake wa shaba, fito zake na vyombo vyake vyote; beseni na kinara chake;+ 17 mapazia ya ua yanayoning’inia,+ nguzo zake na vikalio vyake; pazia la mlango wa ua; 18 vigingi vya hema la ibada na vigingi vya ua na kamba zake;+ 19 mavazi yaliyofumwa kwa ustadi+ ya kuhudumu mahali patakatifu, mavazi matakatifu ya kuhani Haruni,+ na mavazi ya wanawe ya kutumikia wakiwa makuhani.’”

20 Kwa hiyo kusanyiko lote la Waisraeli likaondoka mbele ya Musa. 21 Basi kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma+ na kila mtu aliyechochewa na roho yake akaja na kumletea Yehova mchango ili utumiwe katika kazi ya hema la mkutano, yaani, katika utumishi wake wote, na kwa ajili ya mavazi matakatifu. 22 Nao wakaendelea kuja, wanaume pamoja na wanawake, kila mtu aliyekuwa na moyo wa kutoa kwa hiari akaleta bizimu, vipuli, pete, na vito vingine, kutia ndani vito vya dhahabu vya kila aina. Wote wakamletea Yehova matoleo yao* ya dhahabu.+ 23 Na wote waliokuwa na nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, kitani bora, manyoya ya mbuzi, ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za sili, wakaleta vitu hivyo. 24 Wote waliotoa fedha na shaba wakaleta mchango wa Yehova, na wote waliokuwa na mbao za mshita za kutumiwa katika kazi yoyote ile wakazileta.

25 Wanawake wote wenye ustadi+ wa kusokota wakasokota kwa mikono yao na kuleta vitu walivyosokota: nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora. 26 Na wanawake wote wenye ustadi ambao walisukumwa na mioyo yao wakasokota manyoya ya mbuzi.

27 Nao wakuu wakaleta mawe ya shohamu na mawe mengine ya kupambia efodi na kifuko cha kifuani,+ 28 na mafuta ya zeri na mafuta kwa ajili ya taa na ya kutumiwa kutengenezea mafuta ya kutia mafuta+ na kwa ajili ya uvumba uliotiwa manukato.+ 29 Wanaume na wanawake wote waliochochewa na mioyo yao wakaleta kitu fulani kwa ajili ya kazi ambayo Yehova alimwamuru Musa ifanywe; Waisraeli walimletea Yehova vitu hivyo vikiwa toleo la hiari.+

30 Kisha Musa akawaambia Waisraeli: “Tazameni, Yehova amemchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+ 31 Amemjaza roho ya Mungu, amempa hekima, uelewaji, na ujuzi katika kila aina ya ufundi 32 ili abuni kazi za usanii akitumia dhahabu, fedha, na shaba, 33 ili achonge na kupamba kwa mawe, na kutengeneza vifaa vya mbao vya kila aina kwa usanii. 34 Naye ameweka moyoni mwake ustadi wa kufundisha, yeye na Oholiabu+ mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani. 35 Amewajaza ustadi wa*+ kufanya kazi zote za ufundi, kutarizi, na kufuma kwa nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora, na kazi zote za mfumaji. Wanaume hao watafanya kazi za kila aina na kubuni vyombo vya kila aina kwa ufundi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki