Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

        • Mwana mwenye hekima humfanya baba yake ashangilie (1)

        • Mikono yenye bidii huleta utajiri (4)

        • Kusema maneno mengi husababisha makosa (19)

        • Baraka ya Yehova hutajirisha (22)

        • Kumwogopa Yehova hurefusha maisha (27)

Methali 10:1

Marejeo

  • +Met 1:1
  • +Met 13:1; 27:11

Methali 10:2

Marejeo

  • +Met 11:4

Methali 10:3

Marejeo

  • +Zb 33:18, 19; 37:25; Mt 6:33

Methali 10:4

Marejeo

  • +Met 20:4; Mhu 10:18
  • +Met 12:24; 13:4; 21:5

Methali 10:5

Marejeo

  • +Met 6:6, 9

Methali 10:6

Marejeo

  • +Kut 23:25; Met 28:20

Methali 10:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sifa.”

Marejeo

  • +Zb 112:6; Mhu 7:1
  • +Zb 9:5

Methali 10:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amri.”

Marejeo

  • +Kum 4:6; Zb 19:7; 119:34, 100
  • +Met 18:6

Methali 10:9

Marejeo

  • +Zb 25:21
  • +1Ti 5:24

Methali 10:10

Marejeo

  • +Met 6:12, 13
  • +Met 18:21

Methali 10:11

Marejeo

  • +Met 11:30
  • +Mt 12:35; Yak 3:5

Methali 10:12

Marejeo

  • +Met 17:9; 1Ko 13:4, 7; 1Pe 4:8

Methali 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Isa 50:4
  • +Met 26:3

Methali 10:14

Marejeo

  • +Met 9:9
  • +Met 13:3; 18:7

Methali 10:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kitu chenye thamani cha.”

Marejeo

  • +Met 19:7; 30:8, 9; Mhu 7:12

Methali 10:16

Marejeo

  • +Mt 7:17

Methali 10:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “yuko kwenye kijia kinachoelekea kwenye uzima.”

Methali 10:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uvumi unaodhuru.”

Marejeo

  • +1Sa 18:17, 21

Methali 10:19

Marejeo

  • +Mhu 5:2
  • +Zb 39:1; Met 17:27; 21:23; Yak 1:19

Methali 10:20

Marejeo

  • +Met 12:18; 16:13

Methali 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huwaongoza.”

Marejeo

  • +Yer 3:15
  • +Ho. 4:6

Methali 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huzuni; dhiki.”

Marejeo

  • +Kum 8:17, 18; Zb 37:22; 1Ti 6:6

Methali 10:23

Marejeo

  • +Met 2:10, 11; 14:9; 15:21

Methali 10:24

Marejeo

  • +Zb 37:4; 1Yo 5:14

Methali 10:25

Marejeo

  • +Zb 37:10
  • +Mt 7:24, 25

Methali 10:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwajiri wake.”

Methali 10:27

Marejeo

  • +Zb 91:15, 16
  • +Zb 55:23

Methali 10:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tumaini la.”

Marejeo

  • +Zb 16:9; Ro 12:12
  • +Met 11:7

Methali 10:29

Marejeo

  • +Met 18:10; Isa 40:31
  • +Ro 2:6-8

Methali 10:30

Marejeo

  • +Zb 16:8
  • +Zb 37:9

Methali 10:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huzaa tunda la.”

Jumla

Met. 10:1Met 1:1
Met. 10:1Met 13:1; 27:11
Met. 10:2Met 11:4
Met. 10:3Zb 33:18, 19; 37:25; Mt 6:33
Met. 10:4Met 20:4; Mhu 10:18
Met. 10:4Met 12:24; 13:4; 21:5
Met. 10:5Met 6:6, 9
Met. 10:6Kut 23:25; Met 28:20
Met. 10:7Zb 112:6; Mhu 7:1
Met. 10:7Zb 9:5
Met. 10:8Kum 4:6; Zb 19:7; 119:34, 100
Met. 10:8Met 18:6
Met. 10:9Zb 25:21
Met. 10:91Ti 5:24
Met. 10:10Met 6:12, 13
Met. 10:10Met 18:21
Met. 10:11Met 11:30
Met. 10:11Mt 12:35; Yak 3:5
Met. 10:12Met 17:9; 1Ko 13:4, 7; 1Pe 4:8
Met. 10:13Isa 50:4
Met. 10:13Met 26:3
Met. 10:14Met 9:9
Met. 10:14Met 13:3; 18:7
Met. 10:15Met 19:7; 30:8, 9; Mhu 7:12
Met. 10:16Mt 7:17
Met. 10:181Sa 18:17, 21
Met. 10:19Mhu 5:2
Met. 10:19Zb 39:1; Met 17:27; 21:23; Yak 1:19
Met. 10:20Met 12:18; 16:13
Met. 10:21Yer 3:15
Met. 10:21Ho. 4:6
Met. 10:22Kum 8:17, 18; Zb 37:22; 1Ti 6:6
Met. 10:23Met 2:10, 11; 14:9; 15:21
Met. 10:24Zb 37:4; 1Yo 5:14
Met. 10:25Zb 37:10
Met. 10:25Mt 7:24, 25
Met. 10:27Zb 91:15, 16
Met. 10:27Zb 55:23
Met. 10:28Zb 16:9; Ro 12:12
Met. 10:28Met 11:7
Met. 10:29Met 18:10; Isa 40:31
Met. 10:29Ro 2:6-8
Met. 10:30Zb 16:8
Met. 10:30Zb 37:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 10:1-32

Methali

10 Methali za Sulemani.+

Mwana mwenye hekima humfanya baba yake ashangilie,+

Lakini mwana mpumbavu ni huzuni kwa mama yake.

 2 Hazina zilizopatikana kwa uovu hazitakuwa na faida yoyote,

Lakini uadilifu ndio unaookoa kutoka katika kifo.+

 3 Yehova hatamwacha mwadilifu akae njaa,+

Lakini atawanyima waovu wanachotamani.

 4 Mikono milegevu italeta umaskini,+

Lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.+

 5 Mwana anayetenda kwa ufahamu hukusanya mazao wakati wa kiangazi,

Lakini mwana anayetenda kwa aibu analala usingizi mzito wakati wa mavuno.+

 6 Baraka ziko juu ya kichwa cha mwadilifu,+

Lakini kinywa cha mwovu hufunika ukatili.

 7 Kumbukumbu* ya mwadilifu itabarikiwa,+

Lakini jina la mwovu litaoza.+

 8 Mwenye hekima moyoni atakubali mafundisho,*+

Lakini mtu anayezungumza maneno ya upumbavu atakanyagiwa chini.+

 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea kwa usalama,+

Lakini anayepotosha njia zake atajulikana.+

10 Anayekonyeza jicho lake kwa hila husababisha huzuni,+

Na yule anayezungumza maneno ya upumbavu atakanyagiwa chini.+

11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uzima,+

Lakini kinywa cha mwovu hufunika ukatili.+

12 Chuki ndiyo inayochochea ugomvi,

Lakini upendo hufunika makosa yote.+

13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye utambuzi,+

Lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu asiye na busara.*+

14 Watu wenye hekima huhifadhi ujuzi kama hazina,+

Lakini kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.+

15 Mali ya* tajiri ni jiji lake lenye ngome.

Ufukara wa maskini ndio unaowaangamiza.+

16 Kazi ya mwadilifu huongoza kwenye uzima;

Lakini mazao ya mwovu huongoza kwenye dhambi.+

17 Anayetii nidhamu ni kijia kinachoelekea kwenye uzima,*

Lakini anayepuuza karipio huwapotosha wengine.

18 Anayeficha chuki yake husema uwongo,+

Na yule anayeeneza habari zinazodhuru* ni mpumbavu.

19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+

Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+

20 Ulimi wa mwadilifu ni kama fedha bora kabisa,+

Lakini moyo wa mwovu una thamani ndogo.

21 Midomo ya mwadilifu huwalisha* wengi,+

Lakini wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa ufahamu.+

22 Baraka ya Yehova ndiyo inayomtajirisha mtu,+

Naye haichanganyi na maumivu.*

23 Kutenda mambo ya aibu ni kama mchezo kwa mpumbavu,

Lakini hekima ni ya mtu mwenye utambuzi.+

24 Anachoogopa mwovu kitamjia;

Lakini tamaa ya mwadilifu itatoshelezwa.+

25 Dhoruba ikipita, mwovu hatakuwepo tena,+

Lakini mwadilifu ni msingi milele.+

26 Kama siki kwenye meno na moshi machoni,

Ndivyo alivyo mtu mvivu kwa yule anayemtuma.*

27 Kumwogopa Yehova hurefusha maisha,+

Lakini miaka ya waovu itafupishwa.+

28 Matarajio ya* waadilifu huleta shangwe,+

Lakini tumaini la waovu litatokomea.+

29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+

Lakini ni maangamizi kwa watenda maovu.+

30 Mwadilifu hataangushwa kamwe,+

Lakini waovu hawataendelea kukaa duniani.+

31 Kinywa cha mwadilifu huzaa* hekima,

Lakini ulimi uliopotoka utaangamizwa.

32 Midomo ya mwadilifu inajua mambo yanayopendeza,

Lakini kinywa cha waovu kimepotoka.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki