Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

      • Upumbavu kidogo huharibu hekima (1)

      • Hatari za upumbavu (2-11)

      • Madhara ya kuwa mjinga (12-15)

      • Upumbavu miongoni mwa watawala (16-20)

        • Huenda ndege akarudia maneno uliyosema (20)

Mhubiri 10:1

Marejeo

  • +Hes 20:10, 12; 2Sa 12:9-11

Mhubiri 10:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uko kwenye mkono wake wa kulia.”

  • *

    Tnn., “uko kwenye mkono wake wa kushoto.”

Marejeo

  • +Met 14:8; 17:16

Mhubiri 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo wake umepungukiwa.”

Marejeo

  • +Met 10:23
  • +Met 13:16; 18:7

Mhubiri 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Roho, Pumzi.”

Marejeo

  • +Mhu 8:2, 3
  • +1Sa 25:23, 24; Met 25:15

Mhubiri 10:5

Marejeo

  • +1Sa 26:21; 1Fa 12:13, 14

Mhubiri 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaostahili.”

Mhubiri 10:7

Marejeo

  • +Met 30:21-23

Mhubiri 10:8

Marejeo

  • +Met 26:27

Mhubiri 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “anapaswa kujihadhari nayo.”

Mhubiri 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “stadi wa ulimi.”

Mhubiri 10:12

Marejeo

  • +1Fa 10:6, 8; Zb 37:30; Lu 4:22; Efe 4:29
  • +Zb 64:2, 8; Met 10:14, 21; 14:3

Mhubiri 10:13

Marejeo

  • +1Sa 25:10, 11

Mhubiri 10:14

Marejeo

  • +Met 10:19; 15:2
  • +Met 27:1; Mhu 6:12; Yak 4:13, 14

Mhubiri 10:16

Marejeo

  • +2Nya 13:7; 36:9

Mhubiri 10:17

Marejeo

  • +Met 31:4, 5

Mhubiri 10:18

Marejeo

  • +Met 21:25; 24:33, 34

Mhubiri 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Chakula kimekusudiwa.”

Marejeo

  • +Zb 104:15; Mhu 9:7
  • +Mhu 7:12

Mhubiri 10:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usimlaani.”

  • *

    Au labda, “kitandani mwako.”

  • *

    Tnn., “kiumbe anayeruka angani.”

  • *

    Tnn., “sauti yako.”

Marejeo

  • +Kut 22:28

Jumla

Mhu. 10:1Hes 20:10, 12; 2Sa 12:9-11
Mhu. 10:2Met 14:8; 17:16
Mhu. 10:3Met 10:23
Mhu. 10:3Met 13:16; 18:7
Mhu. 10:4Mhu 8:2, 3
Mhu. 10:41Sa 25:23, 24; Met 25:15
Mhu. 10:51Sa 26:21; 1Fa 12:13, 14
Mhu. 10:7Met 30:21-23
Mhu. 10:8Met 26:27
Mhu. 10:121Fa 10:6, 8; Zb 37:30; Lu 4:22; Efe 4:29
Mhu. 10:12Zb 64:2, 8; Met 10:14, 21; 14:3
Mhu. 10:131Sa 25:10, 11
Mhu. 10:14Met 10:19; 15:2
Mhu. 10:14Met 27:1; Mhu 6:12; Yak 4:13, 14
Mhu. 10:162Nya 13:7; 36:9
Mhu. 10:17Met 31:4, 5
Mhu. 10:18Met 21:25; 24:33, 34
Mhu. 10:19Zb 104:15; Mhu 9:7
Mhu. 10:19Mhu 7:12
Mhu. 10:20Kut 22:28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 10:1-20

Mhubiri

10 Kama nzi waliokufa wanavyofanya mafuta ya mtengenezaji wa marashi yanuke na kutoa povu, ndivyo ujinga kidogo unavyozidi hekima na utukufu.+

2 Moyo wa mwenye hekima humwongoza katika njia inayofaa,* lakini moyo wa mpumbavu humwongoza katika njia isiyofaa.*+ 3 Katika njia yoyote ambayo mjinga anatembea, hana busara,*+ naye huacha kila mtu ajue kwamba yeye ni mjinga.+

4 Hasira* ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiondoke mahali pako,+ kwa maana utulivu huzuia dhambi kubwa.+

5 Kuna jambo linalohuzunisha ambalo nimeona chini ya jua, aina ya kosa linalofanywa na watawala:+ 6 Ujinga huwekwa katika vyeo vingi vya juu, lakini matajiri* hubaki kwenye vyeo vya chini.

7 Nimeona watumishi wakiwa wamepanda farasi lakini wakuu wakitembea kwa miguu kama watumishi tu.+

8 Anayechimba shimo huenda akaanguka ndani yake;+ na anayebomoa ukuta wa mawe huenda akaumwa na nyoka.

9 Anayechimbua mawe huenda yakamuumiza, na yule anayepasua magogo huenda yakamuumiza.*

10 Ikiwa kifaa cha chuma hakina makali na mtu hakinoi, atahitaji kutumia nguvu nyingi. Lakini hekima husaidia kuleta mafanikio.

11 Nyoka akiuma kabla hajachezeshwa, mtu anayemchezesha kwa ustadi* hapati faida yoyote.

12 Maneno yanayotoka kwenye kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ lakini midomo ya mpumbavu ndiyo inayomwangamiza.+ 13 Maneno ya kwanza yanayotoka katika kinywa chake ni ujinga,+ na maneno yake ya mwisho ni wazimu unaoleta msiba. 14 Lakini mjinga huendelea kuongea.+

Mwanadamu hajui yatakayotukia; ni nani anayeweza kumwambia yatakayotukia baada yake?+

15 Kazi ngumu ya mpumbavu humchosha kabisa, kwa sababu hata hajui jinsi atakavyofika jijini.

16 Ole kwa nchi ambayo mfalme wake ni mvulana+ na wakuu wake huanza karamu asubuhi! 17 Yenye furaha ni nchi ambayo mfalme wake ni mwana wa watu mashuhuri na wakuu wake hula wakati unaofaa ili wapate nguvu, si walewe!+

18 Kwa sababu ya uvivu unaopita kiasi paa hubonyea, na kwa sababu ya mikono milegevu nyumba huvuja.+

19 Mkate umekusudiwa* kuleta kicheko, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ni jawabu la mahitaji yote.+

20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki