Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 52
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Amka, Ee Sayuni! (1-12)

        • Miguu ya wale wanaoleta habari njema inapendeza (7)

        • Walinzi wa Sayuni wapaza sauti kwa pamoja (8)

        • Wale wanaobeba vyombo vya Yehova lazima wawe safi (11)

      • Mtumishi wa Yehova atakwezwa (13-15)

        • Sura iliyoharibika (14)

Isaya 52:1

Marejeo

  • +Hag 2:4
  • +Isa 51:17
  • +Isa 61:3
  • +Isa 35:8; 60:21; Ufu 21:27

Isaya 52:2

Marejeo

  • +Isa 51:14; 61:1

Isaya 52:3

Marejeo

  • +Isa 50:1
  • +Isa 45:13

Isaya 52:4

Marejeo

  • +Mwa 46:5-7

Isaya 52:5

Marejeo

  • +Zb 137:3; Yer 50:17
  • +Zb 74:10; Ro 2:24

Isaya 52:6

Marejeo

  • +Eze 20:44

Isaya 52:7

Marejeo

  • +Isa 40:9; Nah 1:15; Mdo 8:4; Ro 10:15; Efe 6:14, 15
  • +Lu 2:14; Mdo 10:36; Efe 2:17
  • +Zb 93:1; Isa 33:22; Mik 4:7; Mt 24:14; Ufu 11:15, 17

Isaya 52:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jicho kwa jicho.”

Isaya 52:9

Marejeo

  • +Isa 61:4
  • +Isa 66:13
  • +Isa 44:23

Isaya 52:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “itaona ushindi wa.”

Marejeo

  • +Isa 51:9
  • +Zb 22:27; Isa 49:6

Isaya 52:11

Marejeo

  • +Isa 48:20; Yer 50:8; 51:6; Zek 2:6
  • +Law 5:2; Eze 44:23
  • +2Ko 6:17; Ufu 18:4
  • +Law 10:3; Hes 3:6, 8; Ezr 1:7; 8:30

Isaya 52:12

Marejeo

  • +Kut 13:21; 1Nya 14:15
  • +Isa 58:8

Isaya 52:13

Marejeo

  • +Isa 42:1; 61:1; Flp 2:5-7
  • +Zb 2:6; 110:1; Isa 9:6; Mt 28:18

Isaya 52:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawatakuwa na la kusema.”

Marejeo

  • +Zb 2:2
  • +Zb 2:10; 72:11
  • +Ro 15:20, 21

Jumla

Isa. 52:1Hag 2:4
Isa. 52:1Isa 51:17
Isa. 52:1Isa 61:3
Isa. 52:1Isa 35:8; 60:21; Ufu 21:27
Isa. 52:2Isa 51:14; 61:1
Isa. 52:3Isa 50:1
Isa. 52:3Isa 45:13
Isa. 52:4Mwa 46:5-7
Isa. 52:5Zb 137:3; Yer 50:17
Isa. 52:5Zb 74:10; Ro 2:24
Isa. 52:6Eze 20:44
Isa. 52:7Isa 40:9; Nah 1:15; Mdo 8:4; Ro 10:15; Efe 6:14, 15
Isa. 52:7Lu 2:14; Mdo 10:36; Efe 2:17
Isa. 52:7Zb 93:1; Isa 33:22; Mik 4:7; Mt 24:14; Ufu 11:15, 17
Isa. 52:9Isa 61:4
Isa. 52:9Isa 66:13
Isa. 52:9Isa 44:23
Isa. 52:10Isa 51:9
Isa. 52:10Zb 22:27; Isa 49:6
Isa. 52:11Isa 48:20; Yer 50:8; 51:6; Zek 2:6
Isa. 52:11Law 5:2; Eze 44:23
Isa. 52:112Ko 6:17; Ufu 18:4
Isa. 52:11Law 10:3; Hes 3:6, 8; Ezr 1:7; 8:30
Isa. 52:12Kut 13:21; 1Nya 14:15
Isa. 52:12Isa 58:8
Isa. 52:13Isa 42:1; 61:1; Flp 2:5-7
Isa. 52:13Zb 2:6; 110:1; Isa 9:6; Mt 28:18
Isa. 52:15Zb 2:2
Isa. 52:15Zb 2:10; 72:11
Isa. 52:15Ro 15:20, 21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 52:1-15

Isaya

52 Amka! Amka! Jivike nguvu,+ ewe Sayuni!+

Vaa mavazi yako maridadi,+ ewe Yerusalemu, jiji takatifu!

Kwa maana mtu ambaye hajatahiriwa na mtu asiye safi hawataingia ndani yako tena.+

 2 Yakung’ute mavumbi, inuka na uketi, ewe Yerusalemu.

Fungua pingu zilizo shingoni mwako, ewe binti ya Sayuni uliye mateka.+

 3 Kwa maana Yehova anasema hivi:

“Ninyi mliuzwa bila malipo,+

Na mtakombolewa bila pesa.”+

 4 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

“Mwanzoni watu wangu walishuka kwenda Misri ili waishi huko wakiwa wageni;+

Kisha Ashuru ikawakandamiza bila sababu.”

 5 “Basi nifanye nini hapa?” auliza Yehova.

“Kwa maana watu wangu walichukuliwa bila malipo.

Wale wanaowatawala wanaendelea kupiga mayowe ya ushindi,”+ asema Yehova,

“Na daima, mchana kutwa, jina langu linavunjiwa heshima.+

 6 Kwa sababu hiyo watu wangu watalijua jina langu;+

Kwa sababu hiyo watajua siku hiyo kwamba mimi Ndiye ninayesema.

Tazama, ni mimi!”

 7 Jinsi inavyopendeza juu ya milima, miguu ya yule anayeleta habari njema,+

Anayetangaza amani,+

Anayeleta habari njema za jambo bora,

Anayetangaza wokovu,

Anayeambia Sayuni: “Mungu wako amekuwa Mfalme!”+

 8 Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti.

Wanapiga vigelegele kwa shangwe pamoja,

Kwa maana wataona waziwazi* Yehova atakapokusanya Sayuni tena.

 9 Changamkeni, pigeni pamoja vigelegele kwa shangwe, enyi magofu ya Yerusalemu,+

Kwa maana Yehova amewafariji watu wake;+ amekomboa Yerusalemu.+

10 Yehova ameufunua wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+

Miisho yote ya dunia itayaona matendo ya wokovu ya* Mungu wetu.+

11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+

Tokeni kati yake,+ iweni safi,

Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+

12 Kwa maana hamtaondoka kwa wasiwasi,

Wala hamtahitaji kukimbia,

Kwa maana Yehova atawatangulia,+

Na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.+

13 Tazameni! Mtumishi wangu+ atatenda kwa ufahamu.

Atainuliwa juu,

Atainuliwa na kukwezwa sana.+

14 Kama alivyotazamwa na wengi kwa mshangao

—Kwa maana sura yake ilikuwa imeharibiwa kuliko ya mwanadamu mwingine yeyote

Na umbo lake lenye fahari kuliko la binadamu—

15 Ndivyo atakavyoyashtua mataifa mengi.+

Wafalme watafunga vinywa vyao* mbele yake,+

Kwa sababu wataona mambo ambayo hawakuwa wameambiwa

Na kufikiria mambo ambayo hawakuwa wamesikia.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki