Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ezekieli—Yaliyomo

      • Ezekieli apewa kazi ya kuwa nabii (1-10)

        • ‘Iwe watasikiliza au hawatasikiliza’ (5)

        • Aonyeshwa kitabu cha kukunjwa chenye nyimbo za huzuni (9, 10)

Ezekieli 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    “Mwana wa binadamu”; maneno haya yanapatikana mara 93 katika Ezekieli na hapa ndipo yanapopatikana kwa mara ya kwanza.

Marejeo

  • +Da 10:11

Ezekieli 2:2

Marejeo

  • +Eze 3:24

Ezekieli 2:3

Marejeo

  • +2Nya 36:15; Eze 33:7
  • +Isa 1:4; Yer 16:12
  • +Kum 9:24; Zb 78:8; Yer 3:25; Mdo 7:51

Ezekieli 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye uso mgumu.”

Marejeo

  • +Eze 3:7

Ezekieli 2:5

Marejeo

  • +Eze 12:2
  • +Eze 3:11; 33:4, 15, 33; Yoh 15:22; Mdo 20:26

Ezekieli 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ingawa watu ni wakaidi, nao ni kama vitu vinavyokudunga.”

Marejeo

  • +2Fa 1:15; Lu 12:4
  • +Mik 7:4
  • +Isa 51:7
  • +Yer 1:8; Eze 3:9

Ezekieli 2:7

Marejeo

  • +Yer 1:17

Ezekieli 2:8

Marejeo

  • +Yer 15:16; Ufu 10:9, 10

Ezekieli 2:9

Marejeo

  • +Yer 1:9
  • +Eze 3:1

Ezekieli 2:10

Marejeo

  • +Ufu 5:1
  • +Eze 19:1

Jumla

Eze. 2:1Da 10:11
Eze. 2:2Eze 3:24
Eze. 2:32Nya 36:15; Eze 33:7
Eze. 2:3Isa 1:4; Yer 16:12
Eze. 2:3Kum 9:24; Zb 78:8; Yer 3:25; Mdo 7:51
Eze. 2:4Eze 3:7
Eze. 2:5Eze 12:2
Eze. 2:5Eze 3:11; 33:4, 15, 33; Yoh 15:22; Mdo 20:26
Eze. 2:62Fa 1:15; Lu 12:4
Eze. 2:6Mik 7:4
Eze. 2:6Isa 51:7
Eze. 2:6Yer 1:8; Eze 3:9
Eze. 2:7Yer 1:17
Eze. 2:8Yer 15:16; Ufu 10:9, 10
Eze. 2:9Yer 1:9
Eze. 2:9Eze 3:1
Eze. 2:10Ufu 5:1
Eze. 2:10Eze 19:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ezekieli 2:1-10

Ezekieli

2 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu,* simama kwa miguu yako ili nizungumze nawe.”+ 2 Alipozungumza nami, roho ikaingia ndani yangu na kunifanya nisimame kwa miguu yangu+ ili niweze kumsikia Yule anayezungumza nami.

3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+ 4 Ninakutuma kwa wana wakaidi* na wenye moyo mgumu,+ nawe lazima uwaambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyosema.’ 5 Nao, iwe watasikiliza au watakataa kusikiliza—kwa maana wao ni nyumba ya uasi+—watajua kwa hakika kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.+

6 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, usiwaogope,+ na usiogope maneno yao, ingawa umezungukwa na michongoma na miiba*+ na unakaa katikati ya nge. Usiogope maneno yao+ na usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi. 7 Ni lazima uwaambie maneno yangu, iwe watasikiliza au la, kwa maana wao ni waasi.+

8 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, sikiliza ninalokuambia. Usiwe mwasi kama nyumba hii ya uasi. Fungua kinywa chako ule ninachokupa.”+

9 Nilipotazama, niliona mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na katika mkono huo niliona kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa.+ 10 Alipokikunjua mbele yangu, kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma.+ Nyimbo za huzuni na maombolezo na vilio vilikuwa vimeandikwa kwenye kitabu hicho.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki