Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Danieli—Yaliyomo

      • Danieli atembelewa na mjumbe wa Mungu (1-21)

        • Mikaeli amsaidia malaika (13)

Danieli 10:1

Marejeo

  • +Ezr 1:1, 2; Isa 45:1; Da 1:21; 6:28
  • +Da 1:7; 4:8

Danieli 10:2

Marejeo

  • +Da 9:3

Danieli 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hidekeli.”

Marejeo

  • +Mwa 2:14

Danieli 10:5

Marejeo

  • +Ufu 19:14

Danieli 10:6

Marejeo

  • +Eze 1:16
  • +Eze 1:5, 7

Danieli 10:7

Marejeo

  • +2Fa 6:17; Mdo 9:7

Danieli 10:8

Marejeo

  • +Da 7:28; 8:27

Danieli 10:9

Marejeo

  • +Da 8:18

Danieli 10:10

Marejeo

  • +Yer 1:9; Ufu 1:17

Danieli 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayependwa sana; anayeheshimiwa sana.”

Marejeo

  • +Da 9:23; 10:19

Danieli 10:12

Marejeo

  • +Ufu 1:17
  • +Da 9:23

Danieli 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Ni Nani Aliye Kama Mungu?”

  • *

    Au “mkuu wa cheo cha kwanza.”

Marejeo

  • +Efe 6:12
  • +Da 10:21; 12:1; Yud 9; Ufu 12:7, 8

Danieli 10:14

Marejeo

  • +Da 2:28
  • +Da 8:17, 26; 12:4

Danieli 10:16

Marejeo

  • +Isa 6:7; Yer 1:9
  • +Da 10:8

Danieli 10:17

Marejeo

  • +Amu 6:22
  • +Isa 6:5

Danieli 10:18

Marejeo

  • +Da 10:10

Danieli 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayependwa sana; anayeheshimiwa sana.”

Marejeo

  • +Ufu 1:17
  • +Da 9:22, 23; 10:11
  • +Amu 6:23

Danieli 10:20

Marejeo

  • +Da 10:13

Danieli 10:21

Marejeo

  • +Da 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
  • +Da 12:1

Jumla

Dan. 10:1Ezr 1:1, 2; Isa 45:1; Da 1:21; 6:28
Dan. 10:1Da 1:7; 4:8
Dan. 10:2Da 9:3
Dan. 10:4Mwa 2:14
Dan. 10:5Ufu 19:14
Dan. 10:6Eze 1:16
Dan. 10:6Eze 1:5, 7
Dan. 10:72Fa 6:17; Mdo 9:7
Dan. 10:8Da 7:28; 8:27
Dan. 10:9Da 8:18
Dan. 10:10Yer 1:9; Ufu 1:17
Dan. 10:11Da 9:23; 10:19
Dan. 10:12Ufu 1:17
Dan. 10:12Da 9:23
Dan. 10:13Efe 6:12
Dan. 10:13Da 10:21; 12:1; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 10:14Da 2:28
Dan. 10:14Da 8:17, 26; 12:4
Dan. 10:16Isa 6:7; Yer 1:9
Dan. 10:16Da 10:8
Dan. 10:17Amu 6:22
Dan. 10:17Isa 6:5
Dan. 10:18Da 10:10
Dan. 10:19Ufu 1:17
Dan. 10:19Da 9:22, 23; 10:11
Dan. 10:19Amu 6:23
Dan. 10:20Da 10:13
Dan. 10:21Da 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 10:21Da 12:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Danieli 10:1-21

Danieli

10 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi, Danieli ambaye pia aliitwa Belteshaza+ alipewa ufunuo; na ujumbe wake ulikuwa wa kweli, nao ulihusu pambano kubwa. Naye alielewa ujumbe huo na kupewa uelewaji kuhusu mambo aliyokuwa ameona.

2 Siku hizo, mimi, Danieli, nilikuwa nikiomboleza+ kwa majuma matatu kamili. 3 Sikula kamwe chakula kizuri, sikula nyama wala kunywa divai, nami sikujipaka kamwe mafuta kwa majuma matatu kamili. 4 Katika siku ya 24 ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa kwenye ukingo wa ule mto mkubwa, Mto Tigri,*+ 5 niliinua macho yangu nikamwona mwanamume aliyevaa mavazi ya kitani,+ na kiunoni mwake alikuwa na mshipi wa dhahabu kutoka Ufazi. 6 Mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ uso wake ulionekana kama radi, macho yake yalikuwa kama mienge inayowaka moto, mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na mvumo wa maneno yake ulikuwa kama mvumo wa umati wa watu. 7 Ni mimi Danieli, peke yangu, niliyeona maono hayo; wanaume waliokuwa pamoja nami hawakuyaona.+ Hata hivyo, walishikwa na hofu kubwa, wakakimbia na kujificha.

8 Kisha nikabaki peke yangu, na nilipoona maono hayo makubwa nguvu ziliniishia na sura yangu ya heshima ikatoweka, nikapoteza nguvu zote.+ 9 Kisha nikasikia sauti yake akizungumza; lakini nilipomsikia akizungumza, nikalala kifudifudi ardhini na kushikwa na usingizi mzito.+ 10 Lakini mkono ukanigusa,+ ukanitikisa ili niinuke kwa mikono na magoti yangu. 11 Kisha akaniambia:

“Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.”

Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.

12 Kisha akaniambia: “Usiogope,+ Ee Danieli. Maneno yako yamesikiwa tangu siku ya kwanza ulipoukaza moyo wako kupata uelewaji na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako, nami nimekuja kwa sababu ya maneno yako.+ 13 Lakini mkuu+ wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku 21. Lakini Mikaeli,*+ mmoja wa wakuu wenye vyeo vya juu zaidi,* akaja kunisaidia; nami nikabaki huko kando ya wafalme wa Uajemi. 14 Nimekuja kukuelewesha mambo yatakayowapata watu wako katika kipindi cha mwisho cha zile siku,+ kwa maana ni maono yanayohusu siku zijazo.”+

15 Sasa aliponiambia maneno hayo, niliuinamisha uso wangu chini nikashindwa kuongea. 16 Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikafungua kinywa changu na kumwambia yule aliyesimama mbele yangu: “Bwana wangu ninaogopa kwa sababu ya maono hayo, nami sina nguvu.+ 17 Sasa bwana wangu, mimi mtumishi wako, ninawezaje kuzungumza nawe bwana wangu?+ Kwa maana sasa sina nguvu, na pumzi imeniishia.”+

18 Yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa tena na kunitia nguvu.+ 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”

20 Ndipo akasema: “Je, unajua kwa nini nimekuja? Sasa nitarudi kupigana na mkuu wa Uajemi.+ Nitakapoondoka, mkuu wa Ugiriki atakuja. 21 Hata hivyo, nitakwambia mambo yaliyoandikwa katika kitabu cha kweli. Hakuna yeyote anayeniunga mkono kwa uthabiti katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ mkuu wako.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki