Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Waefraimu wanapaswa kumrudia Yehova (1-14)

        • Yakobo alishindana na Mungu (3)

        • Yakobo alimlilia Mungu ili ambariki (4)

Hosea 12:1

Marejeo

  • +2Fa 15:19; Ho. 8:9
  • +2Fa 17:4

Hosea 12:2

Marejeo

  • +2Fa 17:19; Yer 2:35; Ho. 4:1; Mik 6:2
  • +Isa 3:11

Hosea 12:3

Marejeo

  • +Mwa 25:26
  • +Mwa 32:28

Hosea 12:4

Marejeo

  • +Mwa 32:24-26
  • +Mwa 28:13, 19

Hosea 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anakumbukwa kwa jina hilo.”

Marejeo

  • +Mwa 28:16; 32:30
  • +Kut 3:15

Hosea 12:6

Marejeo

  • +Isa 31:6; Ho. 14:1; Yoe 2:12, 13
  • +Kum 16:20; Mik 6:8

Hosea 12:7

Marejeo

  • +Amo 8:5, 6; Mik 2:1, 2

Hosea 12:8

Marejeo

  • +Ufu 3:17
  • +Kum 8:17-19

Hosea 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu.”

  • *

    Au labda, “sherehe.”

Marejeo

  • +Kut 20:2; Ho. 13:4

Hosea 12:10

Marejeo

  • +1Fa 17:1; 2Fa 17:13; Amo 7:14, 15

Hosea 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wametenda uchawi; mazingaombwe.”

Marejeo

  • +Ho. 6:8
  • +Ho. 9:15; Amo 4:4
  • +2Fa 17:9, 10; Ho. 8:11; 10:1

Hosea 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shamba.”

  • *

    Au “Siria.”

Marejeo

  • +Mwa 28:5; Kum 26:5
  • +Mwa 32:28
  • +Mwa 29:18
  • +Mwa 31:38

Hosea 12:13

Marejeo

  • +Kut 12:50, 51; Zb 77:20
  • +Yos 24:17; 1Sa 12:8

Hosea 12:14

Marejeo

  • +2Fa 17:9-11; Eze 23:4, 5
  • +Kum 28:37

Jumla

Hos. 12:12Fa 15:19; Ho. 8:9
Hos. 12:12Fa 17:4
Hos. 12:22Fa 17:19; Yer 2:35; Ho. 4:1; Mik 6:2
Hos. 12:2Isa 3:11
Hos. 12:3Mwa 25:26
Hos. 12:3Mwa 32:28
Hos. 12:4Mwa 32:24-26
Hos. 12:4Mwa 28:13, 19
Hos. 12:5Mwa 28:16; 32:30
Hos. 12:5Kut 3:15
Hos. 12:6Isa 31:6; Ho. 14:1; Yoe 2:12, 13
Hos. 12:6Kum 16:20; Mik 6:8
Hos. 12:7Amo 8:5, 6; Mik 2:1, 2
Hos. 12:8Ufu 3:17
Hos. 12:8Kum 8:17-19
Hos. 12:9Kut 20:2; Ho. 13:4
Hos. 12:101Fa 17:1; 2Fa 17:13; Amo 7:14, 15
Hos. 12:11Ho. 6:8
Hos. 12:11Ho. 9:15; Amo 4:4
Hos. 12:112Fa 17:9, 10; Ho. 8:11; 10:1
Hos. 12:12Mwa 28:5; Kum 26:5
Hos. 12:12Mwa 32:28
Hos. 12:12Mwa 29:18
Hos. 12:12Mwa 31:38
Hos. 12:13Kut 12:50, 51; Zb 77:20
Hos. 12:13Yos 24:17; 1Sa 12:8
Hos. 12:142Fa 17:9-11; Eze 23:4, 5
Hos. 12:14Kum 28:37
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 12:1-14

Hosea

12 “Waefraimu wanakula upepo.

Wanaukimbiza upepo wa mashariki siku nzima.

Wanazidisha uwongo na ukatili.

Wanafanya agano na Ashuru+ na kupeleka mafuta Misri.+

 2 Yehova ana kesi dhidi ya watu wa Yuda;+

Atawafanya wazao wa Yakobo wawajibike kulingana na njia zao,

Naye atawalipa kulingana na matendo yao.+

 3 Wakiwa tumboni, Yakobo alimshika kisigino ndugu yake,+

Na kwa nguvu zake alishindana na Mungu.+

 4 Aliendelea kushindana na malaika na kumshinda.

Alilia na kumsihi apate kibali chake.”+

Alimkuta Yakobo kule Betheli, na huko akazungumza nasi,+

 5 Yehova Mungu wa majeshi,+

Yehova ndilo jina lake la ukumbusho.*+

 6 “Basi mrudieni Mungu wenu,+

Dumisheni upendo mshikamanifu na haki,+

Na sikuzote mumtumaini Mungu wenu.

 7 Lakini mfanyabiashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;

Anapenda kuwapunja watu.+

 8 Waefraimu husema, ‘Kwa kweli, tumetajirika;+

Tumepata utajiri.+

Na katika kazi zetu zote za jasho, hawatapata kosa au dhambi yoyote.’

 9 Lakini mimi ni Yehova Mungu wenu kuanzia* mlipokuwa nchini Misri.+

Nitawafanya mkae tena katika mahema

Kama ilivyokuwa katika siku za kipindi kilichoamriwa.*

10 Niliongea na manabii,+

Nikazidisha maono yao,

Nami nikasimulia mifano kupitia manabii.

11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo.

Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+

Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+

12 Yakobo alikimbilia eneo* la Aramu;*+

Israeli+ alitumikia huko ili apate mke,+

Na ili apate mke, alichunga kondoo.+

13 Na kupitia nabii, Yehova aliwapandisha Waisraeli kutoka Misri,+

Na kupitia nabii, walilindwa.+

14 Waefraimu wamemchukiza sana Mungu;+

Wataendelea kuwa na hatia ya damu;

Bwana wao atawaadhibu kwa sababu ya kumwaibisha.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki