Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Amosi—Yaliyomo

      • Kutangaza hukumu ya Yehova (1-8)

        • Mungu afunua siri yake (7)

      • Ujumbe dhidi ya Samaria (9-15)

Amosi 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitawaadhibu.”

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 7:6; Zb 147:19, 20
  • +Da 9:11, 12; Ho. 12:2; Amo 4:12

Amosi 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hawajakutana kama walivyokubaliana.”

Amosi 3:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanasimba mwenye manyoya marefu shingoni.”

Amosi 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ikiwa hauna chambo?”

Amosi 3:7

Marejeo

  • +Mwa 6:13; 18:17; Zb 25:14; Isa 42:9; Da 9:22; Ufu 1:1

Amosi 3:8

Marejeo

  • +Amo 1:2
  • +Yer 20:9; Amo 7:14, 15; Mdo 4:19, 20

Amosi 3:9

Marejeo

  • +2Fa 17:22, 23
  • +Ho. 7:1; Amo 4:1

Amosi 3:11

Marejeo

  • +2Fa 17:6
  • +Ho. 11:6; Amo 6:8

Amosi 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makochi ya Damasko.”

Marejeo

  • +Isa 8:4; Amo 6:4

Amosi 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutoa ushahidi dhidi ya.”

Amosi 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nitakapowaadhibu Waisraeli.”

  • *

    Au “matendo yao yote ya uhalifu.”

Marejeo

  • +Ho. 4:9
  • +1Fa 12:32, 33; Ho. 13:2
  • +2Fa 23:15, 16; 2Nya 31:1; 34:1, 7; Ho. 10:2; Mik 1:6

Amosi 3:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “nyumba nyingi hazitasalia.”

Marejeo

  • +1Fa 22:39
  • +Amo 6:11

Jumla

Amo. 3:2Kut 19:5; Kum 7:6; Zb 147:19, 20
Amo. 3:2Da 9:11, 12; Ho. 12:2; Amo 4:12
Amo. 3:7Mwa 6:13; 18:17; Zb 25:14; Isa 42:9; Da 9:22; Ufu 1:1
Amo. 3:8Amo 1:2
Amo. 3:8Yer 20:9; Amo 7:14, 15; Mdo 4:19, 20
Amo. 3:92Fa 17:22, 23
Amo. 3:9Ho. 7:1; Amo 4:1
Amo. 3:112Fa 17:6
Amo. 3:11Ho. 11:6; Amo 6:8
Amo. 3:12Isa 8:4; Amo 6:4
Amo. 3:14Ho. 4:9
Amo. 3:141Fa 12:32, 33; Ho. 13:2
Amo. 3:142Fa 23:15, 16; 2Nya 31:1; 34:1, 7; Ho. 10:2; Mik 1:6
Amo. 3:151Fa 22:39
Amo. 3:15Amo 6:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Amosi 3:1-15

Amosi

3 “Sikieni neno hili ambalo Yehova amesema kuwahusu ninyi, enyi watu wa Israeli, kuhusu familia nzima niliyoipandisha kutoka nchini Misri:

 2 ‘Ni ninyi peke yenu niliowajua kati ya familia zote duniani.+

Ndiyo sababu nitawafanya muwajibike* kwa sababu ya makosa yenu yote.+

 3 Je, watu wawili watatembea pamoja ikiwa hawajakubaliana kukutana?*

 4 Je, simba atanguruma mwituni ikiwa hana mawindo?

Je, mwanasimba* atanguruma pangoni mwake ikiwa hajakamata chochote?

 5 Je, ndege ataanguka kwenye mtego ardhini ikiwa hakuna mtego wa kumnasa?*

Je, mtego hufyatuka ardhini ikiwa haujanasa chochote?

 6 Pembe ikipigwa jijini, je, watu hawatetemeki?

Msiba ukitokea jijini, je, si Yehova aliyetenda?

 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo lolote

Kabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+

 8 Simba amenguruma!+ Ni nani ambaye hataogopa?

Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema! Ni nani ambaye hatatoa unabii?’+

 9 ‘Tangazeni jambo hilo kwenye minara ya Ashdodi yenye ngome

Na kwenye minara yenye ngome katika nchi ya Misri.

Semeni: “Kusanyikeni pamoja dhidi ya milima ya Samaria;+

Tazameni machafuko yaliyo ndani yake

Na ulaghai ulio ndani yake.+

10 Kwa maana hawajui kufanya yaliyo sawa,” asema Yehova,

“Wale wanaojikusanyia ukatili na maangamizi katika minara yao yenye ngome.”’

11 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

‘Adui ataizingira nchi,+

Atakuvua nguvu zako,

Na minara yako yenye ngome itaporwa.’+

12 Yehova anasema hivi:

‘Kama mchungaji anavyompokonya simba miguu miwili au kipande cha sikio kutoka kinywani mwake,

Hivyo ndivyo watu wa Israeli watakavyookolewa,

Wale ambao sasa wanaketi kwenye vitanda vya kifahari na kwenye makochi bora* kule Samaria.’+

13 ‘Sikieni na kuionya* nyumba ya Yakobo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mungu wa majeshi.

14 ‘Kwa maana siku nitakapowafanya Waisraeli wawajibike* kwa sababu ya maasi yao yote,*+

Pia nitawafanya wawajibike kwa sababu ya madhabahu za Betheli;+

Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka ardhini.+

15 Nitaibomoa nyumba ya majira ya baridi kali pamoja na nyumba ya majira ya kiangazi.’

‘Nyumba za pembe za tembo zitatoweka,+

Na majumba makubwa hayatasalia,’*+ asema Yehova.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki