Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Paulo ahubiri huko Korintho (1-5)

      • Ubora wa hekima ya Mungu (6-10)

      • Tofauti kati ya mtu wa kiroho na mtu wa kimwili (11-16)

1 Wakorintho 2:1

Marejeo

  • +1Ko 1:17
  • +Efe 3:5, 6; Kol 2:2

1 Wakorintho 2:2

Marejeo

  • +Gal 6:14

1 Wakorintho 2:4

Marejeo

  • +Ro 15:18, 19; 1Ko 4:20; 1Th 1:5

1 Wakorintho 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

Marejeo

  • +1Ko 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
  • +1Ko 15:24

1 Wakorintho 2:7

Marejeo

  • +Ro 16:25, 26; Efe 3:8, 9

1 Wakorintho 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

  • *

    Au “hawangemtundika kwenye mti.”

Marejeo

  • +Yoh 7:48; Mdo 13:27, 28

1 Wakorintho 2:9

Marejeo

  • +Isa 64:4

1 Wakorintho 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yenye kina.”

Marejeo

  • +Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2Ti 1:9, 10; 1Pe 1:12
  • +Yoh 14:26; 1Yo 2:27
  • +Ro 11:33

1 Wakorintho 2:12

Marejeo

  • +Yoh 15:26

1 Wakorintho 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tunapounganisha.”

Marejeo

  • +Kol 2:8
  • +Yoh 16:13

1 Wakorintho 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hayapokei.”

1 Wakorintho 2:15

Marejeo

  • +Ro 8:5

1 Wakorintho 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Isa 40:13
  • +Ro 15:5

Jumla

1 Kor. 2:11Ko 1:17
1 Kor. 2:1Efe 3:5, 6; Kol 2:2
1 Kor. 2:2Gal 6:14
1 Kor. 2:4Ro 15:18, 19; 1Ko 4:20; 1Th 1:5
1 Kor. 2:61Ko 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
1 Kor. 2:61Ko 15:24
1 Kor. 2:7Ro 16:25, 26; Efe 3:8, 9
1 Kor. 2:8Yoh 7:48; Mdo 13:27, 28
1 Kor. 2:9Isa 64:4
1 Kor. 2:10Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2Ti 1:9, 10; 1Pe 1:12
1 Kor. 2:10Yoh 14:26; 1Yo 2:27
1 Kor. 2:10Ro 11:33
1 Kor. 2:12Yoh 15:26
1 Kor. 2:13Kol 2:8
1 Kor. 2:13Yoh 16:13
1 Kor. 2:15Ro 8:5
1 Kor. 2:16Isa 40:13
1 Kor. 2:16Ro 15:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wakorintho 2:1-16

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

2 Kwa hiyo, nilipokuja kwenu, akina ndugu, sikuja na maneno mengi+ au hekima nikiwatangazia siri takatifu+ ya Mungu. 2 Kwa maana niliamua kutojua kitu chochote kati yenu isipokuwa Yesu Kristo, naye akiwa ameuawa kwenye mti.+ 3 Nami nilikuja kwenu nikiwa dhaifu, mwenye woga na nikitetemeka sana; 4 na katika maneno yangu na mambo niliyohubiri sikutumia maneno ya kushawishi yenye hekima bali wonyesho wa roho na nguvu,+ 5 ili imani yenu iwe, si katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.

6 Basi tunazungumza kuhusu hekima kati ya wale ambao ni wakomavu,+ lakini si hekima ya mfumo huu wa mambo* wala ile ya watawala wa mfumo huu wa mambo, ambao watapitilia mbali.+ 7 Bali tunazungumza kuhusu hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiagiza awali kabla ya mifumo ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu. 8 Hakuna mtawala hata mmoja wa mfumo huu wa mambo* aliyeijua hekima hii,+ kwa maana kama wangejua hawangemuua* Bwana mwenye utukufu. 9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+ 10 Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito* ya Mungu.+

11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, hakuna ambaye ameyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho ya Mungu. 12 Basi, sisi hatukupokea roho ya ulimwengu, bali tulipokea roho inayotoka kwa Mungu,+ ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupatia kwa fadhili. 13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapofafanua* mambo ya kiroho kwa maneno ya kiroho.

14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho. 15 Hata hivyo, mtu wa kiroho huchunguza mambo yote,+ lakini yeye mwenyewe hachunguzwi na mwanadamu yeyote. 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki