Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waefeso—Yaliyomo

      • Wafanywa kuwa hai pamoja na Kristo (1-10)

      • Ukuta unaotenganisha waharibiwa (11-22)

Waefeso 2:1

Marejeo

  • +Kol 2:13

Waefeso 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenendo.”

Marejeo

  • +Ro 12:2; Efe 4:17
  • +Yoh 12:31
  • +1Ko 2:12

Waefeso 2:3

Marejeo

  • +1Ko 6:9-11
  • +1Pe 4:3
  • +Yoh 3:36

Waefeso 2:4

Marejeo

  • +Zb 145:9
  • +Ro 5:8; 1Yo 4:9, 19

Waefeso 2:5

Marejeo

  • +Kol 2:12, 13

Waefeso 2:6

Marejeo

  • +Efe 1:3

Waefeso 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

  • *

    Au “kibali chake.”

Waefeso 2:8

Marejeo

  • +Ro 4:16

Waefeso 2:9

Marejeo

  • +Ro 3:20

Waefeso 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matokeo ya kazi.”

Marejeo

  • +Gal 6:15
  • +Efe 1:3, 4

Waefeso 2:12

Marejeo

  • +Ro 9:4
  • +Isa 65:1

Waefeso 2:14

Marejeo

  • +Kol 1:19, 20
  • +Kol 3:11
  • +Law 20:26; Kol 2:13, 14

Waefeso 2:15

Marejeo

  • +1Ko 12:12; Gal 3:28

Waefeso 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ebr 12:2
  • +Mdo 10:28

Waefeso 2:19

Marejeo

  • +Efe 2:12
  • +Flp 3:20
  • +1Ti 3:15; Ebr 3:6

Waefeso 2:20

Marejeo

  • +1Ko 12:28
  • +Isa 28:16

Waefeso 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kol 2:19
  • +1Ko 3:16; 6:19

Waefeso 2:22

Marejeo

  • +1Pe 2:5

Jumla

Efe. 2:1Kol 2:13
Efe. 2:2Ro 12:2; Efe 4:17
Efe. 2:2Yoh 12:31
Efe. 2:21Ko 2:12
Efe. 2:31Ko 6:9-11
Efe. 2:31Pe 4:3
Efe. 2:3Yoh 3:36
Efe. 2:4Zb 145:9
Efe. 2:4Ro 5:8; 1Yo 4:9, 19
Efe. 2:5Kol 2:12, 13
Efe. 2:6Efe 1:3
Efe. 2:8Ro 4:16
Efe. 2:9Ro 3:20
Efe. 2:10Gal 6:15
Efe. 2:10Efe 1:3, 4
Efe. 2:12Ro 9:4
Efe. 2:12Isa 65:1
Efe. 2:14Kol 1:19, 20
Efe. 2:14Kol 3:11
Efe. 2:14Law 20:26; Kol 2:13, 14
Efe. 2:151Ko 12:12; Gal 3:28
Efe. 2:16Ebr 12:2
Efe. 2:16Mdo 10:28
Efe. 2:19Efe 2:12
Efe. 2:19Flp 3:20
Efe. 2:191Ti 3:15; Ebr 3:6
Efe. 2:201Ko 12:28
Efe. 2:20Isa 28:16
Efe. 2:21Kol 2:19
Efe. 2:211Ko 3:16; 6:19
Efe. 2:221Pe 2:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waefeso 2:1-22

Kwa Waefeso

2 Zaidi ya hayo, Mungu aliwafanya muwe hai, ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo* wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii. 3 Ndiyo, wakati fulani sisi sote tulijiendesha miongoni mwao kupatana na tamaa za mwili wetu,+ tukifanya mapenzi ya mwili na ya fikira zetu,+ nasi kiasili tulikuwa watoto wa ghadhabu+ kama wale wengine. 4 Lakini Mungu, akiwa tajiri katika rehema,+ kwa sababu ya upendo wake mwingi aliotupenda nao,+ 5 alitufanya hai pamoja na Kristo, hata tulipokuwa wafu katika makosa+—mmeokolewa kupitia fadhili zisizostahiliwa. 6 Isitoshe, alituinua pamoja na kutuketisha pamoja mahali pa kimbingu katika muungano na Kristo Yesu,+ 7 ili kwenye mifumo ya mambo* inayokuja aonyeshe utajiri mwingi zaidi wa fadhili zake zisizostahiliwa katika neema yake* kutuelekea katika muungano na Kristo Yesu.

8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, ninyi mmeokolewa kupitia imani,+ na si ninyi mliofanya hivyo; badala yake, ni zawadi ya Mungu. 9 Hapana, si kutokana na matendo,+ ili mtu yeyote asiwe na sababu za kujisifu. 10 Sisi ni kazi ya mikono* ya Mungu na tuliumbwa+ katika muungano na Kristo Yesu+ kwa ajili ya matendo mema, ambayo Mungu aliamua awali ili tutembee katika hayo.

11 Kwa hiyo, kumbukeni kwamba wakati fulani ninyi, watu wa mataifa kwa kuzaliwa, mlikuwa mkiitwa “watu wasiotahiriwa” na wale walioitwa “watu waliotahiriwa,” kutahiriwa ambako kumefanywa mwilini kwa mikono ya wanadamu. 12 Wakati huo hamkuwa na Kristo, mlikuwa mmetengwa na taifa la Israeli, mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi;+ hamkuwa na tumaini na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+ 13 Lakini sasa katika muungano na Kristo Yesu ninyi ambao wakati fulani mlikuwa mbali sana, mmekuwa karibu kupitia damu ya Kristo. 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+ 15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani, 16 na kuvipatanisha kikamili vile vikundi viwili vya watu katika mwili mmoja kwa Mungu kupitia mti wa mateso,*+ kwa sababu alikuwa ameua ule uadui+ kupitia yeye mwenyewe. 17 Naye alikuja na kuwatangazia habari njema ya amani ninyi mliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu, 18 kwa sababu kupitia kwake, sisi, vikundi viwili vya watu, tuna uhuru wa kumkaribia Baba kwa roho moja.

19 Basi ninyi si wageni tena na watu wa mataifa ya kigeni,+ bali ninyi ni raia wenzi+ wa watakatifu na ni washiriki wa nyumba ya Mungu,+ 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la msingi la pembeni.+ 21 Katika muungano naye, jengo lote likiwa limeunganishwa kwa upatano,+ linakua ili kuwa hekalu takatifu kwa ajili ya Yehova.*+ 22 Katika muungano naye, ninyi pia mnajengwa pamoja muwe mahali pa Mungu pa kukaa kupitia roho.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki