Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Kazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida (1-4)

      • Vitu vyote vimetiishwa kwa Yesu (5-9)

      • Yesu na ndugu zake (10-18)

        • Wakili Mkuu wa wokovu wao (10)

        • Kuhani mkuu mwenye rehema (17)

Waebrania 2:1

Marejeo

  • +Lu 8:15
  • +Zb 73:2; Ebr 3:12; 2Pe 3:17

Waebrania 2:2

Marejeo

  • +Gal 3:19
  • +Kum 4:3; Yud 5

Waebrania 2:3

Marejeo

  • +Ebr 10:28, 29
  • +Mk 1:14

Waebrania 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miujiza.”

Marejeo

  • +Mdo 2:22
  • +1Ko 12:11

Waebrania 2:5

Marejeo

  • +Mdo 17:31; 2Pe 3:13

Waebrania 2:6

Marejeo

  • +Zb 144:3

Waebrania 2:8

Marejeo

  • +Zb 8:4-6
  • +Mt 28:18; 1Ko 15:27; Efe 1:22
  • +1Pe 3:22
  • +Zb 110:1

Waebrania 2:9

Marejeo

  • +Flp 2:7
  • +Ufu 5:9
  • +Isa 53:5, 8; Ro 5:17; 1Ti 2:5, 6

Waebrania 2:10

Marejeo

  • +Ro 8:18, 19; 2Ko 6:18
  • +Mdo 5:31; Ebr 12:2
  • +Lu 24:26; Ebr 5:8

Waebrania 2:11

Marejeo

  • +Yoh 17:19; Ebr 10:14
  • +Yoh 20:17
  • +Mt 12:50; Ro 8:29

Waebrania 2:12

Marejeo

  • +Zb 22:22

Waebrania 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Isa 8:17
  • +Isa 8:18

Waebrania 2:14

Marejeo

  • +Yoh 1:14
  • +Ayu 1:19
  • +Mwa 3:15; Lu 10:18; Yoh 8:44; 1Yo 3:8; Ufu 12:9

Waebrania 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awakomboe.”

Marejeo

  • +Isa 25:8; Ro 8:20, 21; 1Ko 15:26

Waebrania 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Gal 3:29

Waebrania 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “atoe dhabihu ya kufunika dhambi; kufunika dhambi.”

Marejeo

  • +Flp 2:7
  • +Ro 3:25; 1Yo 2:1, 2; 4:10
  • +Ro 5:10

Waebrania 2:18

Marejeo

  • +Ebr 4:15
  • +Ebr 7:25; Ufu 3:10

Jumla

Ebr. 2:1Lu 8:15
Ebr. 2:1Zb 73:2; Ebr 3:12; 2Pe 3:17
Ebr. 2:2Gal 3:19
Ebr. 2:2Kum 4:3; Yud 5
Ebr. 2:3Ebr 10:28, 29
Ebr. 2:3Mk 1:14
Ebr. 2:4Mdo 2:22
Ebr. 2:41Ko 12:11
Ebr. 2:5Mdo 17:31; 2Pe 3:13
Ebr. 2:6Zb 144:3
Ebr. 2:8Zb 8:4-6
Ebr. 2:8Mt 28:18; 1Ko 15:27; Efe 1:22
Ebr. 2:81Pe 3:22
Ebr. 2:8Zb 110:1
Ebr. 2:9Flp 2:7
Ebr. 2:9Ufu 5:9
Ebr. 2:9Isa 53:5, 8; Ro 5:17; 1Ti 2:5, 6
Ebr. 2:10Ro 8:18, 19; 2Ko 6:18
Ebr. 2:10Mdo 5:31; Ebr 12:2
Ebr. 2:10Lu 24:26; Ebr 5:8
Ebr. 2:11Yoh 17:19; Ebr 10:14
Ebr. 2:11Yoh 20:17
Ebr. 2:11Mt 12:50; Ro 8:29
Ebr. 2:12Zb 22:22
Ebr. 2:13Isa 8:17
Ebr. 2:13Isa 8:18
Ebr. 2:14Yoh 1:14
Ebr. 2:14Ayu 1:19
Ebr. 2:14Mwa 3:15; Lu 10:18; Yoh 8:44; 1Yo 3:8; Ufu 12:9
Ebr. 2:15Isa 25:8; Ro 8:20, 21; 1Ko 15:26
Ebr. 2:16Gal 3:29
Ebr. 2:17Flp 2:7
Ebr. 2:17Ro 3:25; 1Yo 2:1, 2; 4:10
Ebr. 2:17Ro 5:10
Ebr. 2:18Ebr 4:15
Ebr. 2:18Ebr 7:25; Ufu 3:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 2:1-18

Kwa Waebrania

2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima tuyakazie uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+ 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kutotii liliadhibiwa kupatana na haki,+ 3 je, sisi tutaponyoka ikiwa tumepuuza wokovu huo mkuu?+ Kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana wetu+ nasi tukathibitishiwa na wale waliomsikia, 4 huku Mungu akijiunga katika kutoa ushahidi kwa ishara na mambo ya ajabu* na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na roho takatifu iliyotolewa kulingana na mapenzi yake.+

5 Kwa maana dunia inayokaliwa inayokuja,+ ambayo tunazungumza kuihusu hajaitiisha chini ya malaika. 6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+ 7 Ulimfanya awe mdogo kidogo kuliko malaika; ulimvika taji kwa utukufu na heshima, na kumweka juu ya kazi za mikono yako. 8 Ulivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Kwa kuvitiisha vitu vyote chini yake,+ Mungu hakuacha kitu chochote kisichotiishwa chini yake.+ Ingawa hivyo, bado hatuoni vitu vyote vikiwa vimetiishwa chini yake.+ 9 Lakini tunamwona Yesu, aliyefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ sasa amevikwa taji la utukufu na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mtu.+

10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+ 11 Kwa maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hiyo yeye haoni aibu kuwaita ndugu,+ 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+ 13 Na tena: “Nitamtegemea yeye.”+ Na tena: “Tazama! Mimi na watoto wadogo, ambao Yehova* alinipa.”+

14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vivyo hivyo yeye pia aliyashiriki mambo hayo,+ ili kupitia kifo chake amwangamize yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi,+ 15 na ili awaweke huru* wale wote waliokuwa chini ya utumwa katika maisha yao yote kwa kuogopa kifo.+ 16 Kwa maana kwa kweli yeye hawasaidii malaika, bali anasaidia uzao wa* Abrahamu.+ 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu, ili atoe dhabihu ya upatanisho*+ kwa ajili ya dhambi za watu.+ 18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteseka alipokuwa akijaribiwa,+ anaweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki