-
1 Wafalme 19:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Ndipo Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, akisema: “Miungu na iniadhibu, tena vikali, ikiwa kufikia kesho wakati kama huu sitakufanya uwe kama* kila mmoja wa manabii hao!”
-
-
Ayubu 6:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Laiti ombi langu lingejibiwa
Na laiti Mungu angenipa ninachotamani!
9 Kwamba Mungu angekuwa tayari kunipondaponda,
Na kwamba angeunyoosha mkono wake na kuniangamiza!+
-