-
Hesabu 11:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Ikiwa utaendelea kunitendea hivi, tafadhali niue sasa hivi.+ Ikiwa nimepata kibali machoni pako, usiache niendelee kutaabika.”
-
-
Ayubu 3:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Kwa nini wanatamani sana kifo, lakini hakiji?+
Wanachimba wakikitafuta kuliko hazina zilizofichika,
-
Yona 4:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Sasa, Ee Yehova, nakusihi uniue, kwa maana afadhali nife badala ya kuishi.”+
-
-
-