-
Isaya 65:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wakaidi,+
Wale wanaotembea katika njia isiyo nzuri,+
Wanaofuata mawazo yao wenyewe;+
-
Mathayo 17:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Yesu akajibu: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni hapa.”
-
-
-