Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 2 Samweli 7:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Hakuna aliye kama wewe,+ na hakuna Mungu ila wewe;+ mambo yote tuliyosikia kwa masikio yetu yanathibitisha jambo hilo.

  • 1 Wafalme 8:23
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 akasema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe+ juu mbinguni wala chini duniani, unayeshika agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu+ watumishi wako wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote.+

  • Zaburi 86:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+

      Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+

  • Yeremia 10:6, 7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  6 Hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+

      Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu na lenye nguvu.

       7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;

      Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,

      Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki