-
Hesabu 27:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.”
-
-
Yoshua 1:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Wakamwambia Yoshua: “Tutafanya yote ambayo umetuamuru, na tutaenda mahali popote unapotaka twende.+
-