-
Mambo ya Walawi 26:46Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
46 Hayo ndiyo masharti, amri, na sheria ambazo Yehova aliwapa Waisraeli kwenye Mlima Sinai kupitia Musa.+
-
-
Hesabu 30:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 “Hizo ndizo sheria ambazo* Yehova alimwamuru Musa kuhusu mume na mke wake, na kuhusu baba na binti yake anayeishi nyumbani kwa baba yake.”
-
-
Kumbukumbu la Torati 6:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti, na sheria ambazo Yehova Mungu wako ametoa ili ufundishwe, ili uzishike unapovuka kuingia katika nchi ambayo utaimiliki,
-