Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Kumbukumbu la Torati 32:39
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 39 Sasa tazameni kwamba mimi—mimi ndiye,+

      Na hakuna miungu mingine ila mimi.+

      Mimi huua, nami hufanya kuwa hai.+

      Ninajeruhi,+ nami nitaponya,+

      Na hakuna anayeweza kumwokoa yeyote kutoka mikononi mwangu.+

  • 1 Samweli 2:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

  • Isaya 45:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Marko 12:32
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki