Zaburi 2:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.” Zaburi 110:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Mathayo 28:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+