Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova na mtiwa-mafuta wake

        • Yehova anayacheka mataifa (4)

        • Yehova amweka mfalme wake (6)

        • Mheshimuni mwana (12)

Zaburi 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanatafakari kuhusu.”

Marejeo

  • +Mdo 4:25-28

Zaburi 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanashauriana.”

  • *

    Au “Kristo.”

Marejeo

  • +Mt 27:1, 2; Lu 23:10, 11; Ufu 19:19
  • +Zb 89:20; Isa 61:1

Zaburi 2:6

Marejeo

  • +Zb 45:6; Eze 21:27; Da 7:13, 14; Ufu 19:16
  • +2Sa 5:7; Ufu 14:1

Zaburi 2:7

Marejeo

  • +Mt 3:16, 17; Mk 1:9-11; Ro 1:4
  • +Mdo 13:33; Ebr 1:5; 5:5

Zaburi 2:8

Marejeo

  • +Zb 72:8; Ebr 1:2; Ufu 11:15

Zaburi 2:9

Marejeo

  • +Ufu 12:5; 19:15
  • +Da 2:44; Ufu 2:26, 27

Zaburi 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “onyo.”

Zaburi 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbusuni.”

Marejeo

  • +Flp 2:9-11
  • +Yoh 3:36

Jumla

Zab. 2:1Mdo 4:25-28
Zab. 2:2Mt 27:1, 2; Lu 23:10, 11; Ufu 19:19
Zab. 2:2Zb 89:20; Isa 61:1
Zab. 2:6Zb 45:6; Eze 21:27; Da 7:13, 14; Ufu 19:16
Zab. 2:62Sa 5:7; Ufu 14:1
Zab. 2:7Mt 3:16, 17; Mk 1:9-11; Ro 1:4
Zab. 2:7Mdo 13:33; Ebr 1:5; 5:5
Zab. 2:8Zb 72:8; Ebr 1:2; Ufu 11:15
Zab. 2:9Ufu 12:5; 19:15
Zab. 2:9Da 2:44; Ufu 2:26, 27
Zab. 2:12Flp 2:9-11
Zab. 2:12Yoh 3:36
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 2:1-12

Zaburi

2 Kwa nini mataifa yana msukosuko

Na watu wananong’ona* kuhusu jambo lisilo na maana?+

 2 Wafalme wa dunia wanajipanga

Na maofisa wakuu wanakusanyika* pamoja kama kitu kimoja+

Dhidi ya Yehova na dhidi ya mtiwa-mafuta* wake.+

 3 Wanasema: “Na tuzikate pingu zao

Na kuzitupa kamba zao!”

 4 Yule anayeketi kwenye kiti cha ufalme mbinguni atacheka;

Yehova atawadhihaki.

 5 Wakati huo ataongea nao kwa hasira yake

Na kuwatisha kwa hasira yake inayowaka,

 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+

Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”

 7 Acheni nitangaze agizo la Yehova;

Aliniambia: “Wewe ni mwanangu;+

Leo nimekuwa baba yako.+

 8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako

Na miisho ya dunia kuwa miliki yako.+

 9 Utawavunja kwa fimbo ya mfalme ya chuma,+

Nawe utawavunjavunja kama chombo cha udongo.”+

10 Basi sasa, enyi wafalme, onyesheni ufahamu;

Kubalini kurekebishwa,* enyi waamuzi wa dunia.

11 Mtumikieni Yehova kwa woga,

Na mshangilie mkitetemeka.

12 Mheshimuni* mwana,+ la sivyo Mungu atawaka hasira

Nanyi mtaangamia kutoka njiani,+

Kwa maana hasira Yake huwaka upesi.

Wenye furaha ni wale wote wanaomkimbilia Yeye.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki