1 Samweli 16:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Sasa roho ya Yehova ilikuwa imemwacha Sauli,+ na roho mbaya kutoka kwa Yehova ilikuwa ikimtesa.+ 1 Samweli 18:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Siku iliyofuata, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamvamia Sauli,+ naye akaanza kutenda kwa njia ya ajabu* nyumbani, huku Daudi akipiga muziki kwa kinubi+ kama alivyofanya nyakati nyingine. Sauli alikuwa na mkuki mkononi,+ 1 Samweli 19:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Na roho mbaya kutoka kwa Yehova ikamjia Sauli+ alipokuwa ameketi nyumbani mwake akiwa na mkuki mkononi, huku Daudi akipiga muziki kwa kinubi.+
10 Siku iliyofuata, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamvamia Sauli,+ naye akaanza kutenda kwa njia ya ajabu* nyumbani, huku Daudi akipiga muziki kwa kinubi+ kama alivyofanya nyakati nyingine. Sauli alikuwa na mkuki mkononi,+
9 Na roho mbaya kutoka kwa Yehova ikamjia Sauli+ alipokuwa ameketi nyumbani mwake akiwa na mkuki mkononi, huku Daudi akipiga muziki kwa kinubi.+