13 Lakini ikiwa baba yangu anakusudia kukudhuru, Yehova na aniadhibu, tena vikali, ikiwa sitakufunulia jambo hilo na kuacha uende zako kwa amani. Yehova na awe pamoja nawe,+ kama alivyokuwa na baba yangu.+ 14 Na je, hutanitendea kwa upendo mshikamanifu wa Yehova ningali hai na hata nikifa?+