-
1 Samweli 20:6, 7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Ikiwa baba yako atanikosa, mwambie, ‘Daudi alinisihi nimruhusu aende mara moja katika jiji lake la Bethlehemu,+ kwa sababu kuna dhabihu ya kila mwaka huko kwa ajili ya familia yote.’+ 7 Akisema, ‘Ni vema!’ mimi mtumishi wako nitakuwa na amani. Lakini akikasirika, uwe na hakika kwamba ameazimia kunidhuru.
-