Zaburi 37:12, 13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Mtu mwovu hupanga njama dhidi ya mwadilifu;+Humsagia meno yake. 13 Lakini Yehova atamcheka,Kwa maana Anajua kwamba siku yake itakuja.+
12 Mtu mwovu hupanga njama dhidi ya mwadilifu;+Humsagia meno yake. 13 Lakini Yehova atamcheka,Kwa maana Anajua kwamba siku yake itakuja.+