-
1 Mambo ya Nyakati 3:5-9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Aliwazaa wana wafuatao huko Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Nathani,+ na Sulemani;+ mama ya wana hao wanne alikuwa Bath-sheba+ binti ya Amieli. 6 Alikuwa na wana wengine tisa ambao ni Ibhari, Elishama, Elifeleti, 7 Noga, Nefegi, Yafia, 8 Elishama, Eliada, na Elifeleti. 9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, bila kuhesabu wana wa masuria, na dada yao alikuwa Tamari.+
-