Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:13-16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Baada ya kutoka Hebroni, Daudi alichukua masuria+ na wake zaidi huko Yerusalemu, nao wakamzalia Daudi wana na mabinti zaidi.+ 14 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 15 Ibhari, Elishua, Nefegi, Yafia, 16 Elishama, Eliada, na Elifeleti.

  • 1 Mambo ya Nyakati 14:3-7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Daudi alichukua wake+ zaidi huko Yerusalemu, na Daudi akazaa wana na mabinti zaidi.+ 4 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu:+ Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 5 Ibhari, Elishua, Elpeleti, 6 Noga, Nefegi, Yafia, 7 Elishama, Beeliada, na Elifeleti.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki