3 Daudi alichukua wake+ zaidi huko Yerusalemu, na Daudi akazaa wana na mabinti zaidi.+ 4 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu:+ Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 5 Ibhari, Elishua, Elpeleti, 6 Noga, Nefegi, Yafia, 7 Elishama, Beeliada, na Elifeleti.