14 Unikumbuke mimi,+ Ee Mungu wangu, kuhusu jambo hili, nawe usiyafutilie mbali matendo yangu ya upendo mshikamanifu ambayo nimetenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na utumishi wake.*+
3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka+ jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili,+ nami nimetenda mambo mema machoni pako.” Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.