Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+

      Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu.

  • Mathayo 11:25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Ndipo Yesu akasema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu nawe umeyafunua kwa watoto wadogo.+

  • Waroma 11:20
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 Hilo ni kweli! Walikatwa+ kwa sababu walikosa imani, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Usiwe na majivuno, bali uwe na woga.

  • Waroma 12:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1 Wakorintho 1:26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 26 Kwa maana akina ndugu, mnaona mwito wake kwenu, kwamba si wengi wenye hekima kwa njia ya kimwili,*+ si wengi wenye nguvu, si wengi wa kutoka familia mashuhuri,+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki