-
Methali 3:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+
Mwogope Yehova na ujiepushe na uovu.
-
-
Mathayo 11:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Ndipo Yesu akasema: “Ninakusifu hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu nawe umeyafunua kwa watoto wadogo.+
-